< Zaburi 71 >

1 Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
Em ti, Senhor, confio; nunca seja eu confundido.
2 Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
Livra-me na tua justiça, e faze-me escapar: inclina os teus ouvidos para mim, e salva-me.
3 Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
Sê tu a minha habitação forte, à qual possa recorrer continuamente: deste um mandamento que me salva, pois tu és a minha rocha e a minha fortaleza.
4 Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
Livra-me, meu Deus, das mãos do ímpio, das mãos do homem injusto e cruel.
5 Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
Pois tu és a minha esperança. Senhor Deus; tu és a minha confiança desde a minha mocidade.
6 Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
Por ti tenho sido sustentado desde o ventre: tu és aquele que me tiraste das entranhas de minha mãe: o meu louvor será para ti constantemente.
7 Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
Sou como um prodígio para muitos, mas tu és o meu refúgio forte.
8 Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
Encha-se a minha boca do teu louvor da tua glória todo o dia.
9 Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
Não me rejeites no tempo da velhice; não me desampares, quando se for acabando a minha força.
10 Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
Porque os meus inimigos falam contra mim, e os que espiam a minha alma consultam juntos,
11 Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
Dizendo: Deus o desamparou: persegui-o e tomai-o, pois não há quem o livre.
12 Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
Ó Deus, não te alongues de mim: meu Deus, apressa-te em ajudar-me.
13 Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
Sejam confundidos e consumidos os que são adversários da minha alma; cubram-se de opróbrio e de confusão aqueles que procuram o meu mal.
14 Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
Mas eu esperarei continuamente, e te louvarei cada vez mais.
15 Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
A minha boca manifestará a tua justiça e a tua salvação todo o dia, pois não conheço o número delas.
16 Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
Sairei na força do Senhor Deus, farei menção da tua justiça, e só dela.
17 Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
Ensinaste-me, ó Deus, desde a minha mocidade; e até aqui tenho anunciado as tuas maravilhas.
18 Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
Agora também, quando estou velho e de cabelos brancos, não me desampares, ó Deus, até que tenha anunciado a tua força a esta geração, e o teu poder a todos os vindouros.
19 Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
Também a tua justiça, ó Deus, está muito alta, pois fizeste grandes coisas: ó Deus, quem é semelhante a ti
20 Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
Tu, que me tens feito ver muitos males e angústias, me darás ainda a vida, e me tirarás dos abismos da terra.
21 Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
Aumentarás a minha grandeza, e de novo me consolarás.
22 Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
Também eu te louvarei com o saltério, bem como à tua verdade, ó meu Deus, cantarei com a harpa a ti, ó Santo de Israel.
23 Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
Os meus lábios exultarão quando eu te cantar, assim como a minha alma que tu remiste.
24 Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.
A minha língua falará da tua justiça todo o dia; pois estão confundidos e envergonhados aqueles que procuram o meu mal.

< Zaburi 71 >