< Zaburi 71 >

1 Katika wewe, Yahwe, napatakimbilio salama; usiniache niaibishwe.
در تو‌ای خداوند پناه برده‌ام، پس تا به ابد خجل نخواهم شد.۱
2 Uniokoe na kunifanya salama katika haki yako; geuzia sikio lako kwangu.
به عدالت خودمرا خلاصی ده و برهان. گوش خود را به من فراگیر و مرا نجات ده.۲
3 Uwe kwagu mwamba kwa ajili ya kimbilio salama ambako naweza kwenda siku zote; wewe umeamuru kuniokoa, kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu.
برای من صخره سکونت باش تا همه وقت داخل آن شوم. تو به نجات من امر فرموده‌ای، زیرا صخره و قلعه من تو هستی.۳
4 Uniokoe mimi, Mungu wangu, kutoka katika mkono wa asiye haki na katili.
خدایا مرا از دست شریر برهان و از کف بدکار وظالم.۴
5 Maana wewe ni tumaini langu, Bwana Yahwe. Nimekuamini wewe siku zote tangu nilipokuwa mtoto.
زیرا‌ای خداوند یهوه، تو امید من هستی و ازطفولیتم اعتماد من بوده‌ای.۵
6 Nimekuwa nikisaidiwa na wewe tangu tumboni; wewe ndiye yule uliyenitoa tumboni mwa mama yangu; sifa zangu zitakuhusu wewe siku zote.
از شکم بر توانداخته شده‌ام. از رحم مادرم ملجای من توبوده‌ای و تسبیح من دائم درباره تو خواهد بود.۶
7 Mimi ni mfano bora kwa watu wangu; wewe ni kimbilio langu lenye nguvu.
بسیاری را آیتی عجیب شده‌ام. لیکن تو ملجای زورآور من هستی.۷
8 Mama yangu atajawa na sifa zako, siku zote akikuheshimu.
دهانم از تسبیح تو پر است واز کبریایی تو تمامی روز.۸
9 Usinitupe katika siku za miaka ya uzee wangu; usiniache wakati nguvu zangu zitakapoisha.
در زمان پیری مرا دور مینداز چون قوتم زایل شود مرا ترک منما.۹
10 Maana adui zangu wanazungumza kuhusu mimi; wale wanao fatilia uhai wangu wanapanga njama pamoja.
زیرا دشمنانم بر من حرف می‌زنند و مترصدان جانم با یکدیگرمشورت می‌کنند۱۰
11 Wao husema, “Mungu amemuacha; mfuateni na mumchukue, maana hakuna yeyote awezaye kumuokoa yeye.”
و می‌گویند: «خدا او را ترک کرده است. پس او را تعاقب کرده، بگیرید، زیرا که رهاننده‌ای نیست.»۱۱
12 Mungu, usiwe mbali nami; Mungu wangu, harakisha kunisaidia mimi.
‌ای خدا از من دور مشو. خدایا به اعانت من تعجیل نما.۱۲
13 Waaibishwe na kuharibiwa, wale walio adui wa uhai wangu; wavishwe laumu na kudharauliwa, wale watafutao kuniumiza.
خصمان جانم خجل و فانی شوند.۱۳
14 Lakini nitakutumainia wewe siku zote na nitakusifu wewe zaidi na zaidi.
و اما من دائم امیدوارخواهم بود و بر همه تسبیح تو خواهم افزود.۱۴
15 Kinywa changu kitaongea kuhusu haki yako na wokovu wako mchana kutwa, ingawa ziwezi kuzielewa maana ni nyingi mno.
زبانم عدالت تو را بیان خواهد کرد و نجاتت راتمامی روز. زیرا که حد شماره آن را نمی دانم.۱۵
16 Nitakuja na matendo yenye nguvu ya Bwana Yahwe; nitataja haki yako, yako pekee.
در توانایی خداوند یهوه خواهم آمد. و ازعدالت تو و بس خبر خواهم داد.۱۶
17 Mungu, tangu ujana wangu wewe umenifundisha; hata sasa ninatangaza matendo yako ya ajabu.
‌ای خدا ازطفولیتم مرا تعلیم داده‌ای و تا الان، عجایب تو رااعلان کرده‌ام.۱۷
18 Hakika, hata niwapo mzee na mvi kichwani, Mungu, usiniache mimi, kama ambavyo nimekuwa nikitanga nguvu yako kwa vizazi vijavyo, na uweza wako kwa yeyote ajaye.
پس‌ای خدا، مرا تا زمان پیری وسفید مویی نیز ترک مکن، تا این طبقه را از بازوی تو خبر دهم و جمیع آیندگان را از توانایی تو.۱۸
19 Pia haki yako, Mungu, iko juu sana; wewe ambaye umefanya mambo makuu, Mungu, ni nani aliye kama wewe?
خدایا عدالت تو تا اعلی علیین است. توکارهای عظیم کرده‌ای. خدایا مانند تو کیست؟۱۹
20 Wewe ambaye umetuonesha sisi mateso mengi utatuhuisha tena na utatupandisha tena juu kutoka kwenye kina cha nchi.
‌ای که تنگیهای بسیار و سخت را به ما نشان داده‌ای، رجوع کرده، باز ما را زنده خواهی ساخت؛ و برگشته، ما را از عمق های زمین برخواهی آورد.۲۰
21 Uiongeze heshima yangu; rudi tena na unifariji.
بزرگی مرا مزید خواهی کرد وبرگشته، مرا تسلی خواهی بخشید.۲۱
22 Nami pia nitakushukuru kwa kinubi kwa ajili ya uaminifu wako, Mungu wangu; kwako nitaimba sifa kwa kinubi, Mtakatifu wa Israel.
پس من نیزتو را با بربط خواهم ستود، یعنی راستی تو را‌ای خدای من. و تو را‌ای قدوس اسرائیل با عود ترنم خواهم نمود.۲۲
23 Midomo yangu itapiga kelele kwa sababu ya furaha wakati nikikuimbia sifa, hata kwa roho yangu, ambayo wewe umeikomboa.
چون برای تو سرود می‌خوانم لبهایم بسیار شادی خواهد کرد و جانم نیز که آن را فدیه داده‌ای.۲۳
24 Ulimi wangu pia utaongea kuhusu haki yangu mchana kutwa; maana wameaibishwa na kuvurugwa, wale waliotafuta kuniumiza.
زبانم نیز تمامی روز عدالت تورا ذکر خواهد کرد. زیرا آنانی که برای ضرر من می‌کوشیدند خجل و رسوا گردیدند.۲۴

< Zaburi 71 >