< Zaburi 69 >

1 Uniokoe, Mungu; maana maji yameweka uhai wangu hatarini.
برای سالار مغنیان بر سوسنها. مزمور داود خدایا مرا نجات ده! زیرا آبها به‌جان من درآمده است.۱
2 Ninazama kwenye kina cha matope, pasipo na hahari pa kusimama; nimekuja kwenye kina kirefu cha maji, ambako mafuriko yananifunika.
در خلاب ژرف فرورفته‌ام، جایی که نتوان ایستاد. به آبهای عمیق درآمده‌ام و سیل مرا می‌پوشاند.۲
3 Nimechoka sana kwa kulia kwangu; koo langu ni kavu; macho yangu yanafifia wakati namngoja Mungu wangu.
از فریاد خودخسته شده‌ام و گلوی من سوخته و چشمانم ازانتظار خدا تار گردیده است.۳
4 Wale wanichukiao bila sababu wako zaidi ya nywele za kichwa changu; wale ambao wangeweza kuniua, wakiwa adui zangu kwa sababu zisizo sahihi, ni wengi mno; wanalazimisha nirudishe kile ambacho sijaiba.
آنانی که بی‌سبب ازمن نفرت دارند، از مویهای سرم زیاده‌اند ودشمنان ناحق من که قصد هلاکت من دارندزورآورند. پس آنچه نگرفته بودم، رد کردم.۴
5 Mungu, wewe unaujua ujinga wangu, na dhambi zangu hazifichiki kwako.
‌ای خدا، تو حماقت مرا می‌دانی و گناهانم از تومخفی نیست.۵
6 Usiwaache wale wanao kungoja wewe waaibishwe kwa sababu yangu, Bwana Yahwe wa majeshi; usiwaache wale wanaokutafuta wewe wadharauliwe kwa sababu yangu, Mungu wa Israeli.
‌ای خداوند یهوه صبایوت، منتظرین تو به‌سبب من خجل نشوند. ای خدای اسرائیل، طالبان تو به‌سبب من رسوا نگردند.۶
7 Kwa ajili yako nimestahimili lawama; aibu imeufunika uso wangu.
زیرا به‌خاطر تو متحمل عار گردیده‌ام ورسوایی روی من، مرا پوشیده است.۷
8 Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu, nisiye fahamika wala kuaminika kwa watoto wa mama yangu.
نزدبرادرانم اجنبی شده‌ام و نزد پسران مادر خودغریب.۸
9 Kwa maana bidii ya nyumba yako imenila, na laumu zao wanao kulaumu wewe zimeniangukia mimi.
زیرا غیرت خانه تو مرا خورده است وملامت های ملامت کنندگان تو بر من طاری گردیده.۹
10 Wakati nilipolia na kutokula chakula, walinitukana.
روزه داشته، جان خود را مثل اشک ریخته‌ام. و این برای من عار گردیده است.۱۰
11 Nilipoteneneza mavazi ya gunia, nikawa kituko kwao.
پلاس را لباس خود ساخته‌ام و نزد ایشان ضرب‌المثل گردیده‌ام.۱۱
12 Wale wakaao katika lango la mji huniseng'enya; mimi ni wimbo wa walevi.
دروازه نشینان درباره من حرف می‌زنند و سرود می‌گساران گشته‌ام.۱۲
13 Lakini kwangu mimi, maombi yangu ni kwako, Yahwe, wakati ambao wewe utayapokea; unijibu katika uaminifu wa wokovu wako.
و اما من، ای خداوند دعای خود را در وقت اجابت نزد تو می‌کنم. ای خدا در کثرت رحمانیت خود و راستی نجات خود مرا مستجاب فرما.۱۳
14 Unitoe matopeni, na usiniache nizame; uniondoe mbali na wale wanaonichukia na uniokoe katika kina cha maji.
مرا از خلاب خلاصی ده تا غرق نشوم و ازنفرت کنندگانم و از ژرفیهای آب رستگار شوم.۱۴
15 Usiache mafuliko ya maji yanielemee, wala kina kisinimeze. Usiache mdomo wa shimo unimeze.
مگذار که سیلان آب مرا بپوشاند و ژرفی مراببلعد و هاویه دهان خود را بر من ببندد.۱۵
16 Unijibu, Yahwe, maana uaminifu wa agano lako ni mwema; kwa maana rehema zako kwangu ni nyingi, unigeukie.
‌ای خداوند مرا مستجاب فرما زیرا رحمت تونیکوست. به کثرت رحمانیتت بر من توجه نما.۱۶
17 Usiufiche uso wako mbali na mtumishi wako, maana niko katika dhiki; unijibu haraka.
و روی خود را از بنده ات مپوشان زیرا در تنگی هستم مرا بزودی مستجاب فرما.۱۷
18 Uje kwangu na unikomboe. Kwa sababu ya adui zangu, uwe fidia yangu.
به‌جانم نزدیک شده، آن را رستگار ساز. به‌سبب دشمنانم مرا فدیه ده.۱۸
19 Wewe wajua kulaumiwa kwangu, kuaibishwa kwangu, na kudharauliwa kwangu; wapinzani wangu wote wako mbele yako.
تو عار و خجالت و رسوایی مرا می‌دانی وجمیع خصمانم پیش نظر تواند.۱۹
20 Lawama imevunja moyo wangu; nimejawa na huzuni kubwa; nilitafuta mtu wa kunihurumia, lakini hakuwepo; nilitafuta wafariji, lakini sikupata.
عار، دل مراشکسته است و به شدت بیمار شده‌ام. انتظارمشفقی کشیدم، ولی نبود و برای تسلی دهندگان، اما نیافتم.۲۰
21 Walinipa sumu kwa ajili ya chakula changu; katika kiu yangu walinipa siki ninywe.
مرا برای خوراک زردآب دادند وچون تشنه بودم مرا سرکه نوشانیدند.۲۱
22 Meza yao mbele yao na iwe mtego; wafikiripo wako kwenye usalama, iwe kitanzi.
پس مائده ایشان پیش روی ایشان تله باد و چون مطمئن هستند دامی باشد.۲۲
23 Macho yao na yatiwe giza ili kwamba wasiweze kuona; uvifanye viuno vyao kutetemeka daima.
چشمان ایشان تارگردد تا نبینند. و کمرهای ایشان را دائم لرزان گردان.۲۳
24 Wamwagie gadhabu yako, ukali wa hasira yako uwafikie wao.
خشم خود را بر ایشان بریز و سورت غضب تو ایشان را دریابد.۲۴
25 Sehemu yao na iwe ukiwa; mtu yeyote asiishi katika hema yao.
خانه های ایشان مخروبه گردد و در خیمه های ایشان هیچ‌کس ساکن نشود.۲۵
26 Kwa kuwa walimtesa yule uliyempa adhabu. Mara kwa mara walihesabu maumivu ya wale walioumizwa.
زیرا برکسی‌که تو زده‌ای جفامی کنند و دردهای کوفتگان تو را اعلان می نمایند.۲۶
27 Wakiwashtaki kuwa wamefanya uovu juu ya uovu; usiwaache waje kwenye ushindi wa haki yako.
گناه بر گناه ایشان مزید کن و درعدالت تو داخل نشوند.۲۷
28 Uwafute kwenye Kitabu cha Uzima na wasiandikwe pamoja na wenyehaki.
از دفتر حیات محوشوند و با صالحین مرقوم نگردند.۲۸
29 Lakini mimi ni maskini na mwenye huzuni; uruhusu wokovu wako, Mungu, uniweke juu sana.
و اما من، مسکین و دردمند هستم. پس‌ای خدا، نجات تو مرا سرافراز سازد.۲۹
30 Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo na nitamtukuza yeye kwa shukrani.
و نام خدا رابا سرود تسبیح خواهم خواند و او را با حمدتعظیم خواهم نمود.۳۰
31 Nitamsifu Yahwe zaidi kuliko ng'ombe au ndama aliye na mapembe na kwato.
و این پسندیده خداخواهد بود، زیاده از گاو و گوساله‌ای که شاخها وسمها دارد.۳۱
32 Wanyenyekevu wameona na kufurahi; ninyi mnao matafuta Mungu, mioyo yenu itiwe nguvu.
حلیمان این را دیده، شادمان شوند، و‌ای طالبان خدا دل شما زنده گردد،۳۲
33 Maana Yahwe husikia wenye uhitaji naye hawadharau wafungwa wake.
زیرا خداوند فقیران را مستجاب می‌کند واسیران خود را حقیر نمی شمارد.۳۳
34 Mbingu na nchi zimsifu yeye, bahari na vyote vitembeavyo majini.
آسمان وزمین او را تسبیح بخوانند. آبها نیز و آنچه در آنهامی جنبد.۳۴
35 Kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni na ataujenga tena mji wa Yuda; watu wataishi huko na kupata umiliki wao.
زیرا خدا صهیون را نجات خواهدداد و شهرهای یهودا را بنا خواهد نمود تا در آنجاسکونت نمایند و آن را متصرف گردند.۳۵
36 Ukoo wa watumishi wake watairithi; nao walipendao jina lake wataishi humo.
وذریت بندگانش وارث آن خواهند شد و آنانی که نام او را دوست دارند، در آن ساکن خواهندگردید.۳۶

< Zaburi 69 >