< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Przewodnikowi chóru. Psalm Dawida. Wysłuchaj, o Boże, mego głosu, gdy się modlę; zachowaj moje życie od strachu przed wrogiem.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Ukryj mnie przed tajemną radą złoczyńców, przed zgrają czyniących nieprawość;
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
Którzy naostrzyli swój język jak miecz, nałożyli swoje strzały, słowa jadowite;
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
Aby strzelać z ukrycia w niewinnego; strzelają znienacka i nikogo się nie boją.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Utwierdzają się w złym zamiarze, zmawiają się, jak ukryć pułapki, i mówią: Któż je zobaczy?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Szukają nieprawości, starannie jej poszukują; ich wnętrze i serce są głębokie.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Ale Bóg wypuści na nich strzałę, nagle odniosą rany;
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Własny język doprowadzi ich do upadku; wszyscy, którzy ich zobaczą, uciekną.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
I zlękną się wszyscy ludzie, będą opowiadali o dziele Boga i zrozumieją jego czyny.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
A sprawiedliwy będzie się weselić w PANU i będzie mu ufał; i będą się chlubili wszyscy prawego serca.

< Zaburi 64 >