< Zaburi 64 >

1 Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
Dāvida dziesma. Dziedātāju vadonim. Klausi, ak Dievs, manu balsi, kad es žēlojos; pasargi manu dzīvību no ienaidnieku briesmām.
2 Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
Apslēp mani no ļaunu ļaužu padomiem, no ļaundarītāju trakošanas.
3 Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
Tie savas mēles trin kā zobenu, un uzvelk savas bultas, savus rūgtos vārdus,
4 ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
Šaut slepeni nenoziedzīgam; tie šauj viņam piepeši un nebīstas.
5 Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
Tie iedrošinājās paši ļaunā padomā, tie runā, slepeni likt valgus, un saka: kas to redzēs?
6 Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
Tie domā uz visādu blēdību, tiem gatavs ir viņu gudrais padoms, prātu un sirdi nevienam nevar izdibināt.
7 Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
Bet Dievs ar bultu tos šaus piepeši, ka tiem gan sāpēs.
8 Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
Caur savu pašu mēli tie taps apgāzti; ikkurš, kas uz tiem skatās, bēgs.
9 Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
Un visi cilvēki bīsies un sacīs: to Dievs ir darījis, un sapratīs, ka tas ir Viņa darbs.
10 Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.
Tas taisnais priecāsies iekš Tā Kunga, un paļausies uz Viņu, un visi sirdsskaidrie teiktin teiksies.

< Zaburi 64 >