< Zaburi 63 >

1 Mungu, wewe ni Mungu wangu! Ninakutafuta wewe kwa bidii, moyo wangu unakiu yako, mwili wangu unakutamani sana wewe, katika ukame na nchi iliyochoka mahali ambapo hakuna maji.
مزمور داود هنگامی که در صحرای یهودا بود ای خدا، تو خدای من هستی. در سحرتو را خواهم طلبید. جان من تشنه تواست و جسدم مشتاق تو در زمین خشک تشنه بی‌آب.۱
2 Hivyo nimekutafuta wewe katika watu watakatifu kuona nguvu zako na utukufu wako.
چنانکه در قدس بر تو نظر کردم تا قوت و جلال تو را مشاهده کنم.۲
3 Kwa sababu uaminifu wa agano lako ni bora kuliko uhai, midomo yangu itakusifu wewe.
چونکه رحمت تو ازحیات نیکوتر است. پس لبهای من ترا تسبیح خواهد خواند.۳
4 Hivyo nitakutukuza wewe niwapo hai; kwa jina lako nitainua mikono yangu juu.
از این‌رو تا زنده هستم تو رامتبارک خواهم خواند. و دستهای خود را به نام توخواهم برافراشت.۴
5 Itakuwa kana kwamba nilikula mlo wa mafuta na wenye kunona, kwa midomo ya furaha kinywa changu kitakusifu wewe,
جان من سیر خواهد شدچنانکه از مغز و پیه. و زبان من به لبهای شادمانی تو را حمد خواهد گفت،۵
6 nikufikiripo kitandani mwangu na kukutafakari wewe wakati wa saa za usiku.
چون تو را بر بسترخود یاد می‌آورم و در پاسهای شب در تو تفکرمی کنم.۶
7 Kwa maana umekuwa msaada wangu, na katika uvuli wa mbawa zako ninafurahia.
زیرا تو مددکار من بوده‌ای و زیر سایه بالهای تو شادی خواهم کرد.۷
8 Ninashikamana nawe; mkono wako wa kuume unanisaidia.
جان من به توچسبیده است و دست راست تو مرا تایید کرده است.۸
9 Lakini wale watafutao kuuharibu uhai wangu wataenda chini kwenye sehemu ya chini kabisa ya nchi;
و اما آنانی که قصد جان من دارند هلاک خواهند شد و در اسفل زمین فرو خواهند رفت.۹
10 watakabidhiwa kwa wale ambao mikono yao hutumia upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.
ایشان به دم شمشیر سپرده می‌شوند و نصیب شغالها خواهند شد.۱۰
11 Bali mfalme atashangilia katika Mungu; yeyote anaye apa kupitia yeye atajivunia yeye, lakini vinywa ya wale wasemao uongo watanyamazishwa.
اما پادشاه در خدا شادی خواهد کرد و هر‌که بدو قسم خورد فخر خواهدنمود. زیرا دهان دروغ‌گویان بسته خواهد گردید.۱۱

< Zaburi 63 >