< Zaburi 62 >

1 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; wokovu wangu watoka kwake.
[Jeduthun aka mawt ham David kah Tingtoenglung] Pathen dong bueng ah ka hinglu loh duemnah a khueh tih kai kah khangnah khaw amah taeng lamkah ni.
2 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa kamwe.
Amah te ka lungpang neh kai ham khangnah, ka imsang la om pai tih, ka thuen tlaih mahpawh.
3 Mpaka lini, ninyi nyote, mtamshambulia mtu, ili kwamba mumpindue yeye kama ukuta ulio inama au kama fensi isiyo imara?
Hlang te me hil nim na phom uh ve? Nangmih boeih loh aka ngooi pangbueng neh aka bung vongtung bangla na sah uh aya?
4 Wanashauliana naye ili tu kumshusha chini kutoka kwenye nafasi yake heshimiwa; wao wanapenda kuongea uongo; wanambariki yeye kwa midomo yao, lakini mioyoni mwao wana mlaani yeye. (Selah)
Anih te hmuensang lamloh heh ham rhep caai uh tih laithae a ngaingaih uh. A ka neh uem uh cakhaw a kotak ah a tap uh. (Selah)
5 Katika ukimya ninamsubiri Mungu pekee; kwa maana matumaini yangu yako kwake.
Ka ngaiuepnah amah taeng lamkah halo dongah ka hinglu loh Pathen dong bueng ah ni a duem.
6 Yeye pekee ni mwamba wangu na wokovu wangu; yeye ni mnara wangu mrefu; sitasogezwa.
Anih bueng ni ka lungpang neh kai ham khangnah imsang la om tih ka tuen mahpawh.
7 Na Mungu ni wokovu wangu na utukufu wangu; mwamba wa nguvu yangu na kimbilio langu salama liko katika Mungu.
Pathen dongah kai kah khangnah, ka thangpomnah, ka sarhi lungpang om tih Pathen dongah ka hlipyingnah ni.
8 Mwaminini Mungu wakati wote, ninyi watu; mimina moyo wako mbele zake; Mungu ni kimbilio salama kwa ajili yetu. (Selah)
Pilnam loh a tue boeih khuiah BOEIPA dongah hangdang uh. Na thinko te amah hmai ah kingling lah. Pathen he mamih ham hlipyingnah ni. (Selah)
9 Hakika watu wenye msimamo mdogo ni ubatili, na watu wenye msimamo mkubwa ni waongo; wao watakuwa wepesi kwenye mzani; uzito wao pamoja ni wepesi kuliko kitu chochote.
Tedae hlang capa rhoek he a honghi ni. tongpa capa rhoek khaw laithae ni. Cooi dongah a honghi boeih lakah amih te yanghoep la a phoh.
10 Usiamini katika ukandamizaji au wizi; usitumainie utajiri, maana hawatazaa matunda; usiuweke moyo wako kwenye hivyo.
Hnaemtaeknah dongah pangtung boel lamtah huencannah nen khaw hoemdawk boeh. A khuehtawn loh thaihsu cakhaw lungbuei pael boeh.
11 Mungu ameongea mara moja, mara mbili nimesikia hili: nguvu ni za Mungu.
Pathen loh vai a thui te Pathen taengkah sarhi ni tila voeihnih ka yaak.
12 Pia kwako, Bwana, ni uaminifu wa agano, maana humlipa kila mtu kwa kile alichokifanya.
Hlang te a khoboe bangla na thuung dongah sitlohnah tah ka Boeipa namah kah ni.

< Zaburi 62 >