< Zaburi 61 >

1 Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
Oh ʼElohim, oye mi clamor. Atiende mi súplica.
2 Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
Cuando mi corazón desmaya, Clamo a Ti desde el extremo de la tierra: Llévame a la Roca que es más alta que yo.
3 Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
Porque Tú fuiste mi Refugio, Torre fuerte contra el enemigo.
4 Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
Permite que yo viva en tu Tabernáculo para siempre Y que me refugie al amparo de tus alas. (Selah)
5 Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
Porque Tú, ʼElohim, oíste mis votos. Diste heredad a los que temen tu Nombre.
6 Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
Prolongarás la vida del rey. Sus años serán como muchas generaciones.
7 Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
Estará para siempre delante de ʼElohim. Prepara misericordia y verdad para que lo preserven.
8 Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.
Así cantaré alabanza a tu Nombre para siempre, A fin de pagar mis votos cada día.

< Zaburi 61 >