< Zaburi 61 >

1 Sikia kulia kwangu, shughulikia maombi yangu.
In finem, In hymnis David. Exaudi Deus deprecationem meam: intende orationi meæ.
2 Kutokea mwisho wa nchi nitakuita wewe wakati moyo wangu umeelemewa; uniongoze kwenye mwamba ulio juu kuliko mimi.
A finibus terræ ad te clamavi: dum anxiaretur cor meum, in petra exaltasti me. Deduxisti me,
3 Maana wewe umekuwa kimbilio langu la usalama, nguzo imara dhidi ya adui.
quia factus es spes mea: turris fortitudinis a facie inimici.
4 Uniache niishi hemani mwako milele! Nipate kimbilio salama chini ya makazi ya mbawa zako. (Selah)
Inhabitabo in tabernaculo tuo in sæcula: protegar in velamento alarum tuarum.
5 Kwa kuwa wewe, Mungu, umesikia viapo vyangu, wewe umenipa mimi urithi wa wale wanao liheshimu jina lako.
Quoniam tu Deus meus exaudisti orationem meam: dedisti hereditatem timentibus nomen tuum.
6 Wewe utaongeza maisha ya mfalme; miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
Dies super dies regis adiicies: annos eius usque in diem generationis et generationis.
7 Yeye atabakia mbele ya Mungu milele.
Permanet in æternum in conspectu Dei: misericordiam et veritatem eius quis requiret?
8 Nitaliimbia sifa jina lako milele ili kwamba niweze kufanya viapo vyangu kila siku.
Sic psalmum dicam nomini tuo in sæculum sæculi: ut reddam vota mea de die in diem.

< Zaburi 61 >