< Zaburi 6 >

1 Yahweh, usinikemee ukiwa na hasira au usiniadhibu katika gadhabu yako.
大卫的诗,交与伶长。用丝弦的乐器,调用第八。 耶和华啊,求你不要在怒中责备我, 也不要在烈怒中惩罚我!
2 Unihurumie, Yahwe, kwa maana ni dhaifu; uniponye, Yahweh, kwa kuwa mifupa yangu ina tikisika.
耶和华啊,求你可怜我,因为我软弱。 耶和华啊,求你医治我,因为我的骨头发战。
3 Moyo wangu pia umesumbuka sana. Lakini wewe, Yahweh, mpaka lini hali hii itaendelea?
我心也大大地惊惶。 耶和华啊,你要到几时才救我呢?
4 Rudi, Yahweh! uniokoe. Uniokoe kwa sababu ya uaminifu wa agano lako!
耶和华啊,求你转回搭救我! 因你的慈爱拯救我。
5 kwa kuwa kifoni hakuna kumbukumbu lako. Kuzimuni ni nani atakaye kushukuru? (Sheol h7585)
因为,在死地无人记念你, 在阴间有谁称谢你? (Sheol h7585)
6 Nimechoshwa na kuugua kwangu. Ninalowanisha kitanda changu kwa machozi usiku kucha; ninaosha kiti changu kwa machozi.
我因唉哼而困乏; 我每夜流泪,把床榻漂起, 把褥子湿透。
7 Macho yangu yanafifia kwa kulia sana; yanazidi kuwa dhaifu kwa sababu ya adaui zangu.
我因忧愁眼睛干瘪, 又因我一切的敌人眼睛昏花。
8 Ondokeni kwangu, nyote mtendao maovu; kwa kuwa Yahweh amesikia sauti ya kilio changu.
你们一切作孽的人,离开我吧! 因为耶和华听了我哀哭的声音。
9 Yahweh amesikia malalamiko yangu kwa ajili ya huruma; Yahweh ameyapokea maombi yangu.
耶和华听了我的恳求; 耶和华必收纳我的祷告。
10 Maadui zangu wote wataaibishwa na kuteswa sana. Watarudi nyuma na ghafra kufedheheshwa.
我的一切仇敌都必羞愧,大大惊惶; 他们必要退后,忽然羞愧。

< Zaburi 6 >