< Zaburi 57 >

1 Unihurumie, Mungu, unihurumie mimi, kwa maana ninakukimbilia wewe mpaka matatizo haya yaishe. Ninakaa chini ya mbawa za zako kwa ajili ya ulinzi mpaka huu uharibifu utakapoisha.
Načelniku godbe: "Ne pogubi", Davidova pesem odlična, ko je bežal pred Savlom v brlog. Milosten mi bodi, Bog, milosten mi bodi; ker k tebi je pribežala duša moja, in v senco peroti tvojih hočem pribežati, dokler ne minejo težave.
2 Nitakulilia Mungu uliye hai, kwa Mungu, afanyaye mambo yote kwa ajili yangu.
Klical bodem Boga najvišjega, mogočnega, ki zvršuje za me.
3 Yeye atatuma msaada kutoka mbinguni na kuniokoa, ana hasira na wale wanaonishambulia. (Selah) Mungu atanitumia upendo wake mwema na uaminifu wake.
Poslal bode z nebes rešit me, osramotil bode njega, ki me rohneč preganja silovito. Poslal bode Bog milost svojo in resnico svojo.
4 Uhai wangu uko katikati ya simba; niko katikati ya wale walio tayari kunila. Niko katikati ya watu ambao meno yao ni mikuki na mishale, na ambao ndimi zao ni kali kama upanga.
Jaz sem med levi groznimi, med požigalci ležim, med ljudmi, katerih zobje so sulice in pušice, in jezik njih je oster meč.
5 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu, utukufu wako uwe juu ya nchi yote.
Povišaj se nad nebesa, o Bog; nad vso zemljo v slavi svoji.
6 Wao walisambaza nje wavu kwa ajili ya miguu yangu; nilikuwa na shida sana. Walichimba shimo mbele yangu. Wao wenyewe wameangukia katikati ya shimo! (Selah)
Mrežo so bili nastavili stopinjam mojim; potlačil je bil dušo mojo; jamo so bili skopali pred menoj, vanjo padajo silno.
7 Moyo wangu umeponywa, Mungu, moyo wangu umeponywa, nitaimba, ndiyo, nitaimba sifa.
S povzdignenim srcem svojim, o Bog, s povzdignenim srcem bodem pel in prepeval:
8 Inuka, moyo wa thamani; inuka, kinanda na kinubi; nitaamka alfajiri.
Vstani, slava moja, vstanite brenklje in strune, budil bodem sè zarijo;
9 Nitakushukuru wewe, Bwana, kati ya watu; Kati ya mataifa nitakuimbia sifa.
Slavil te bodem med ljudstvi, Gospod; prepeval med narodi;
10 Maana upendo wako usiokwisha, huzifikia mbingu; na uaminifu wako mawinguni.
Velika je do nebés milost tvoja, in noter do gornjih oblakov resnica tvoja.
11 Uinuliwe, Mungu, juu ya mbingu; na utukufu wako uinuliwe juu ya nchi yote.
Povišaj se nad nebesa, o Bog; nad vso zemljo v slavi svoji.

< Zaburi 57 >