< Zaburi 56 >

1 Uwe na huruma nami, Mungu, kwa maana watu wananishambulia! Muda wote wale wanao pigana nami hunikaribia zaidi ili wanishambulie.
Maasika kaniak, O Dios, ta kayatnak nga alun-onen ti maysa a tao; agmalmalem a dardarupen ken idaddadanesnak.
2 Adui zangu hunikanyaga muda wote; maana ni wengi ambao kwa kiburi hupigana dhidi yangu.
Agmalmalem a kayatdak nga alun-onen dagiti kabusorko; ta adu dagiti natangsit a dumarup kaniak.
3 Wakati nina woga, nitaweka imani yangu katika wewe.
No mabutengak, agtalekak kenka.
4 Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu - nimeweka imani yangu katika Mungu; sitaogopa; mtu wa kawaida atanifanya nini?
Iti Dios, a daydayawek ti saona—agtalekak iti Dios; saanakto nga agbuteng; ania ti mabalin nga aramiden ti tao kaniak?
5 Muda wote wanayageuza maneno yangu; mawazo yao yote yako kinyume na mimi kwa ajili ya uovu.
Agmalmalem a baliktadenda dagiti sasaok; amin a panagpanpanunotda ket maibusor kaniak para iti pakadaksan.
6 Wanajikusanya kwa pamoja, wanajificha wenyewe, na kuzifuatilia hatua zangu, wakisubiri kuniua.
Agu-ummongda, aglemmengda, ket sipsiputanda amin nga addangko, a kas iti panangurayda iti biagko.
7 Usiwaache waikimbie adhabu yako kwa ajili ya uovu wao. Uwaangushe watu chini katika hasira yako, Mungu.
Saanmo nga ipalubos a makalibasda nga agar-aramid iti kinadakes. Ipababam dagiti tattao iti ungetmo, O Dios.
8 Wewe unahesabu kutangatanga kwangu na kuweka machozi yangu kwenye chupa yako; je, hayako kitabuni mwako?
Bilangem dagiti pannakaiyaw-awanko ken ikabilmo dagiti luluak iti boteliam; saanda aya a nailista iti bukodmo a libro?
9 Ndipo maadui zangu watakimbia katika siku ile nikuitapo wewe; hili najua, kwamba Mungu yupo kwa ajili yangu.
Ket agsanudto dagiti kabusorko iti aldaw nga umawagak kenka; daytoy ti ammok, adda ti Dios kaniak.
10 Katika Mungu ambaye neno lake ninalisifu, katika Yahwe ambaye neno lake ninalisifu,
Iti Dios, a daydayawek ti saona—kenni Yahweh, a daydayawek ti saona—
11 katika Mungu ninaamini, sitaogopa. Yeyote atanifanya nini?
Agtalekak iti Dios; saanakto nga agbuteng, ania ti mabalin nga aramidek ti tao kaniak?
12 Wajibu wa kutimiza viapo vyangu kwako uko juu yangu, Mungu; nitatoa sadaka ya shukurani.
Adda kaniak ti pagrebbengan a mangtungpal kadagiti karik kenka, O Dios; agidatonakto iti pagyamanko kenka.
13 Kwa kuwa umeokoa uhai wangu na mauti; umezuia miguu yangu isianguke, ili kwamba niweze kutembea mbele ya Mungu katika nuru ya uhai.
Ta inispalmo ti biagko manipud iti patay; inlisim dagiti sakak manipud iti pannakatinnag, tapno makapagnaak iti sangoanan ti Dios iti lawag ti sibibiag.

< Zaburi 56 >