< Zaburi 55 >

1 Uyategee sikio maombi yangu, Mungu; nawe usijifiche mbali na kusihi kwangu.
Al maestro de coro. Para instrumentos de cuerda. Maskil de David. Escucha oh Dios, mi oración, y no te escondas de mi súplica.
2 Unitazame kwa makini na unijibu; Sina pumziko katika shida zangu
Atiéndeme, inclina tu oído. Vago gimiendo y sobresaltado [y estoy turbado]
3 kwa sababu ya sauti ya adui zangu, kwa sababu ya ukandamizaji wa waovu; maana wananiletea matatizo na kunitesa wakiwa na hasira.
ante las amenazas del enemigo y la opresión del inicuo; se acumulan calamidades sobre mí y me asaltan con furor.
4 Moyo wangu wasumbuka ndani yangu, na hofu ya kifo imeniangukia.
El corazón tiembla en mi pecho, y me acometen mortales angustias.
5 Uwoga na kutetemeka kumenijia, nayo hofu imenielemea.
El temor y el terror me invaden, y me envuelve el espanto.
6 Nikasema, “Oh, kama tu ningekuwa na mabawa kama njiwa! Ningelipaa mbali na kupata pumziko.
Y exclamo: “¡Oh si tuviera yo alas como la paloma para volar en busca de reposo!”
7 Tazama, ningeenda mbali; ningekaa jangwani. (Selah)
Me iría bien lejos a morar en el desierto.
8 Ningefanya haraka kuja mafichoni mwako kuzikimbia dhoruba na tufani.”
Me escaparía al instante del torbellino y de la tempestad.
9 Uwaangamize, Bwana, vuruga lugha zao! Kwa maana nimeona vurugu na ugomvi katika mji.
Piérdelos, Señor; divide sus lenguas, pues en la ciudad veo la violencia y la discordia
10 Mchana na usiku wao huenda kwenye kuta zake; uchafu na ufisadi uko katikati yake.
rondar día y noche sobre sus muros; y en su interior hay opresión y ruina.
11 Uovu uko katikati yake; ukandamizaji na uongo hauiachi mitaa yake.
La insidia impera en medio de ella, y de sus plazas no se apartan la injuria y el engaño.
12 Kwa maana hakuwa adui aliye nikemea, hivyo ningevumilia; wala ingekuwa ni yule aliye nichukia aliyejiinua mwenyewe dhidi yagu, hivyo ningejificha asinione.
Si me insultara un enemigo, lo soportaría; si el que me odia se hubiese levantado contra mí, me escondería de él simplemente.
13 Lakini ulikuwa wewe, mtu sawa na mimi, mwenzangu na rafiki yangu.
Pero eres tú, mi compañero, mi amigo y mi confidente,
14 Tulikuwa na ushirika mtamu pamoja; tuliingia katika nyumba ya Mungu tukiwa na umati mkubwa.
con quien vivía yo en dulce intimidad, y subíamos en alegre consorcio a la casa de Dios.
15 Kifo na kiwapate ghafla; na washuke wakiwa hai kuzimuni, maana ndiko waishiko waovu, hapo hapo kati yao. (Sheol h7585)
Sorpréndalos la muerte; vivos aún desciendan al sepulcro, porque la maldad reina en sus moradas [y en ellos mismos]. (Sheol h7585)
16 Lakini kwangu mimi, nitamwita Mungu, na Yahwe ataniokoa.
Mas yo clamaré a Dios, y Yahvé me salvará.
17 Wakati wa jioni, asubuhi na mchana ninalalamika na kuomboleza; yeye atasikia sauti yangu.
Me lamentaré y lloraré a la tarde, a la mañana, a mediodía, y Él oirá mi voz.
18 Kwa usalama kabisa atayaokoa maisha yangu na vita dhidi yangu, kwa maana wale waliopigana nami walikuwa ni wengi.
Me sacará sano y salvo de los asaltos, aunque son muchos contra mí.
19 Mungu, yule unayetawala milele, atawasikia na kuwaaibisha wao. (Selah) Hawabadiliki, na hawamhofu Mungu.
Me escuchará Dios y los humillará Él, que es eternamente. Porque no hay modo de convertirlos, y no temen a Dios.
20 Rafiki yangu ameinua mikono yake dhidi ya wale waliokuwa na amani naye; Hakuheshimu agano alilokuwa nalo.
Cada cual levanta su mano contra el amigo, y violan la fe jurada.
21 Mdomo wake ulikuwa laini kama siagi, lakini moyo wake ulikuwa adui; maneno yake yalikuwa laini kuliko mafuta, lakini yalikuwa ni panga zilizochomolewa.
Más blando que manteca es su rostro, pero su corazón es feroz; sus palabras, más untuosas que el aceite, son espadas desnudas.
22 Umtwike mizigo yako Yahwe, naye atakusaidia; yeye hataruhusu mtu mwenye haki kuyumbayumba.
Deja tu cuidado a cargo de Yahvé, y Él te sostendrá. Nunca permitirá que el justo caiga;
23 Bali wewe, Mungu, utawaleta waovu chini kwenye shimo la uharibifu; watu wenye kiu ya kumwaga damu na waongo hawataishi hata nusu ya maisha kama wengine, lakini mimi nitakuamini wewe.
mas a ellos, oh Dios, los harás descender a la fosa. No llegarán a la mitad de sus días esos hombres sanguinarios y fraudulentos. Yo, empero, pongo en Ti mi confianza, oh Señor.

< Zaburi 55 >