< Zaburi 50 >

1 Mungu, Mwenye nguvu, Yahwe, amenena naye aliita nchi toka mawio ya jua mpaka machweo yake.
Asafa dziesma. Tas stiprais Dievs, Dievs Tas Kungs, runā, un sauc zemi no rītiem līdz vakariem.
2 Tokea Sayuni, Mungu ameangaza, ukamilifu wa uzuri.
No Ciānas, kur tas pilnīgais skaistums, Dievs parādās ar spožumu.
3 Mungu wetu huja naye hakai kimya; mbele yake moto hula, na kuna dhoruba kubwa karibu naye.
Mūsu Dievs nāk un necieš klusu; rijoša uguns iet Viņa priekšā, un Viņam apkārt liela vētra.
4 Yeye huziita mbingu zilizo juu na nchi ili kwamba aweze kuwahukumu watu wake:
Viņš sauc debesīm augšā, un zemei, tiesāt Savus ļaudis.
5 Kwa pamoja kusanyikeni waaminifu wangu kwangu, wale waliofanya nami agano kwa sadaka.”
Sapulcinājiet Man Manus svētos, kas Manu derību derējuši ar upuriem.
6 Mbingu zitatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ndiye jaji. Serah
Un debesis stāsta Viņa taisnību, jo Dievs pats ir soģis. (Sela)
7 Sikilizeni, watu wangu, nami nitazungumza; mimi ni Mungu, Mungu wenu.
Klausiet, Mani ļaudis, Es runāšu; Israēl, Es došu liecību pret tevi: Es, Dievs, esmu tavs Dievs.
8 Sitawakaripia ninyi kwa ajili ya sadaka zenu; sadaka zenu za kuteketeza ziko nami siku zote.
Tavu upuru pēc Es tevi nepārmācu, nedz tavu dedzināmo upuru pēc, kas vienmēr Manā priekšā.
9 Sitachukua ng'ombe katika nyumba yenu, wala beberu katika mazizi yenu.
No tava nama Es vēršus neņemšu, nedz āžus no taviem laidariem.
10 Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu, nao ng'ombe kwenye milima elfu ni wangu.
Jo visi meža zvēri Man pieder, tie lopi uz kalniem pa tūkstošiem.
11 Ninawajua ndege wa mlimani, na wanyama pori katika shamba ni wangu.
Es zinu visus putnus uz kalniem, un tie zvēri laukā ir manā priekšā.
12 Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi; maana ulimwengu ni wangu, na vyote vilivyomo.
Ja Man gribētos ēst, tad Es tev to nesacītu, jo Man pieder pasaule un viņas pilnums.
13 Je! sitakula nyama ya ngombe na kunywa damu ya mbuzi?
Vai Man ēst vērša gaļu un dzert āžu asinis?
14 Mtoleeni Mungu sadaka za shukurani, na mlipe viapo vyenu kwa Aliye Juu.
Upurē Dievam pateicību un maksā tam Visuaugstam savus solījumus.
15 Mniite katika siku ya shida; nami nitawaokoa
Un piesauc Mani bēdu laikā, tad Es tevi gribu izraut, un tev būs Mani godāt.
16 Lakini kwa waovu Mungu anasema, “Inawahusu nini kuitangaza hali yangu, kwamba ninyi mmeliweka agano langu mdomoni mwenu,
Bet uz bezdievīgo Dievs saka: kā tu drīksti daudzināt Manus likumus un Manu derību ņemt savā mutē.
17 wakati ninyi mnayachukia maelekezo na mnayatupa maneno yangu?
Kad tu tomēr ienīsti pārmācību, un laidi pār galvu Manus vārdus?
18 Mumuanapo mwizi, ninyi hukubaliana naye; ninyi na mnashirikiana na wale wafanyao uasherati.
Kad tu zagli redzi, tad tu viņam skrej līdz, un tev ir dalība ar laulības pārkāpējiem.
19 Mwautoa mdomo wenu kwa mabaya, huelezea udanganyifu.
Ar savu muti tu dodies uz ļaunu, un tava mēle dzen viltību.
20 Mnakaa na kuongea dhidi ya ndugu yenu; na kukashfu mwana wa mama yenu.
Tu sēdi runādams pret savu brāli, tavas mātes dēlu tu apmelo.
21 Mmefanya mambo haya, lakini nimekaa kimya, hivyo mlidhani kuwa ni mtu flani nilliye kama ninyi mlivyo. Lakini nitawakaripia ninyi na kuwafunua, mbele ya macho yenu, mambo yote miliyofanya.
To tu dari, un kad Es ciešu klusu, tad tu domā, ka Es tāds pat esmu kā tu; bet Es tevi pārmācīšu un tev to turēšu priekš acīm.
22 Mlitilie maanani hili, ninyi mnao msahau Mungu, vinginevyo nitawakata ninyi vipande vipande, na hatakuwepo yeyote wakuja kuwasaidia!
Saprotiet jel to, jūs, kas Dievu aizmirstat, lai Es nesaplosu, un izglābēja nav.
23 Yule atoaye sadaka ya shukurani hunitukuza, na yeyote apangaye njia zake katika namna iliyo sahihi nitamuonesha wokovu wa Mungu.”
Kas pateicību upurē, tas Mani tur godā; un tas ir tas ceļš, kā Es tam rādīšu Dieva pestīšanu.

< Zaburi 50 >