< Zaburi 48 >

1 Yahwe ndiye aliye mkuu na mwenyekusifiwa sana, katika mji wa Mungu wetu kwenye mlima wake mtakatifu.
Псаломска песен на Кореевите синове. Велик е Господ; и твърде достохвален В града на нашия Бог, в Своя свет хълм.
2 Ni mzuri katika mwinuko wake, furaha ya nchi yote, ni mlima Sayuni, kwenye upande wa kaskazini, mji wa Mfalme mkuu.
Красив по възвишеността си, радост на цялата земя, Е хълмът Сион, гдето по северните му страни Е градът на великия цар.
3 Mungu amejifunua mwenyewe katika jumba lake la kifahari kama kimbilio la usalama.
В палатите му Бог е познат като прибежище.
4 Maana, tazama, wafalme walikusanyika wenyewe; wote pamoja walipita.
Защото, ето, царете се събраха; Всички преминаха.
5 Nao waliuona, wakashangaa; walifadhaika, na wakaharakisha kuondoka.
Те като видяха почудиха се, Смутиха се, спуснаха се на бяг.
6 Pale pale tetemeko liliwashikilia, maumivu makali kama mwanamke anaye zaa.
Трепет ги обзе там, Болки като на раждаща жена.
7 Kwa upepo wa mashariki wewe huivunja meli ya Tarshishi.
С източния вятър Ти съкрушаваш тарсийските кораби.
8 Kama tulivyo sikia, vivyo hivyo tumeona katika mji wa Yahwe wa majeshi, katika mji wa Mungu wetu; Mungu atautunza milele. (Selah)
Каквото бяхме чули, това и видяхме В града на Господа на Силите, в града на нашия Бог, Който Бог и до века ще утвърди. (Села)
9 Tumeutafakari uaminifu wa agano lako, Mungu, katikati ya hekalu lako.
Размишляваме, Боже, за Твоето милосърдие Всред Твоя храм.
10 Kama lilivyo jina lako, Mungu, hivyo ndivyo zilivyo sifa zako mpaka miisho ya dunia; mkono wako wa kuume umejaa haki.
Според името Ти, Боже, е и хвалата Ти до краищата на земята; Десницата Ти е пълна с правда.
11 Milma Sayuni na ufurahi, nao wana wa Yuda washangilie kwa sababu ya amri ya haki yako.
Нека се весели хълмът Сион, Нека се радват Юдовите дъщери. Заради Твоите съдби.
12 Tembeeni katika Mlima Sayuni, muuzungukie mji,
Обиколете Сион и обходете го; Пребройте кулите му;
13 mzitazame kwa makini nguzo zake, na mtazame majumba yake ya kifahari ili kwamba muweze kuwasimulia kizazi kijacho.
Обърнете внимание в укрепленията му; Разгледайте палатите му; За да го разказвате на поколението подир вас.
14 Kwa kuwa huyu Mungu ni Mungu wetu milele na milele; naye atakuwa kiongozi wetu mpaka kufa.
Защото Тоя Бог е наш Бог до вечни векове; Той ще ни ръководи дори до смърт.

< Zaburi 48 >