< Zaburi 45 >

1 Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
Au chef de musique. Sur Shoshannim. Des fils de Coré. Instruction. Un cantique du bien-aimé. Mon cœur bouillonne d’une bonne parole; je dis ce que j’ai composé au sujet du roi; ma langue est le style d’un écrivain habile.
2 Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
Tu es plus beau que les fils des hommes; la grâce est répandue sur tes lèvres: c’est pourquoi Dieu t’a béni à toujours.
3 Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
Ceins ton épée sur ton côté, homme vaillant, [dans] ta majesté et ta magnificence;
4 Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
Et, prospérant dans ta magnificence, mène en avant ton char, à cause de la vérité et de la débonnaireté [et] de la justice; et ta droite t’enseignera des choses terribles.
5 Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
Tes flèches sont aiguës, – les peuples tomberont sous toi, – dans le cœur des ennemis du roi.
6 Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
Ton trône, ô Dieu, est pour toujours et à perpétuité; c’est un sceptre de droiture que le sceptre de ton règne.
7 Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
Tu as aimé la justice, et tu as haï la méchanceté; c’est pourquoi Dieu, ton Dieu, t’a oint d’une huile de joie au-dessus de tes compagnons.
8 Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
Tous tes vêtements sont myrrhe, aloès, et casse, [quand tu sors] des palais d’ivoire d’où ils t’ont réjoui.
9 Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
Des filles de rois ont été parmi tes dames d’honneur; la reine est à ta droite, parée d’or d’Ophir.
10 Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
Écoute, fille! et vois, et incline ton oreille; et oublie ton peuple et la maison de ton père;
11 Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
Et le roi désirera ta beauté, car il est ton seigneur: adore-le.
12 Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
Et avec une offrande, la fille de Tyr, les plus riches du peuple rechercheront ta faveur.
13 Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
La fille du roi est tout gloire, dans l’intérieur [du palais]; son vêtement est de broderies d’or.
14 Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
Elle sera amenée au roi en vêtements de brocart; des vierges qui la suivent, ses compagnes, te seront amenées;
15 Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
Elles te seront amenées avec joie et allégresse, elles entreront dans le palais du roi.
16 Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
Au lieu de tes pères, tu auras tes fils; tu les établiras pour princes dans tout le pays.
17 Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.
Je rappellerai ton nom dans toutes les générations; c’est pourquoi les peuples te célébreront à toujours et à perpétuité.

< Zaburi 45 >