< Zaburi 44 >

1 Mungu, tumesikia kwa masikio yetu, baba zetu wametuambia kazi uliyofanya katika siku zao, siku za kale.
In finem, Filiis Core ad intellectum.
2 Uliwafukuza mataifa kwa mkono wako, lakini ukawafanya watu wetu kuishi humo; wewe uliwataabisha mataifa, lakini ukawaeneza watu wetu katika nchi.
Deus auribus nostris audivimus: patres nostri annunciaverunt nobis. Opus, quod operatus es in diebus eorum: et in diebus antiquis.
3 Kwa maana hawakupata umiliki wa nchi kwa upanga wao, wala mkono wao wenyewe haukuwaokoa; bali mkono wako wakuume, mkono wako, na nuru ya uso wako, na kwa sababu uliwaridhia.
Manus tua gentes disperdidit, et plantasti eos: afflixisti populos, et expulisti eos:
4 Mungu, wewe ni Mfalme wangu, amuru ushindi kwa ajili ya Yakobo.
Nec enim in gladio suo possederunt terram, et brachium eorum non salvavit eos: Sed dextera tua, et brachium tuum, et illuminatio vultus tui: quoniam complacuisti in eis.
5 Kwa uweza wako tutawaangusha chini maadui zetu; kwa jina lako tutatembea juu yao, wale wanao inuka dhidi yetu.
Tu es ipse rex meus et Deus meus: qui mandas salutes Iacob.
6 Kwa maana sitauamini upinde wangu, wala upanga wangu hautaniokoa.
In te inimicos nostros ventilabimus cornu, et in nomine tuo spernemus insurgentes in nobis.
7 Bali wewe ndeye uliyetuokoa na adui zetu, na umewaaibisha wale watuchukiao.
Non enim in arcu meo sperabo: et gladius meus non salvabit me.
8 Katika Mungu tumefanywa kujivuna siku zote, nasi tutalishukuru jina lako milele. (Selah)
Salvasti enim nos de affligentibus nos: et odientes nos confudisti.
9 Lakini sasa umetutupa na kutufedhehesha, na hauendi na majeshi yetu.
In Deo laudabimur tota die: et in nomine tuo confitebimur in sæculum.
10 Umetufanya kuwakimbia maadui zetu; na wale watuchukiao huchukua vitu vyetu vya thamani kwa ajili yao wenyewe.
Nunc autem repulisti et confudisti nos: et non egredieris Deus in virtutibus nostris.
11 Umetufanya kama kondoo aliyeandaliwa kwa ajili ya chakula na umetutawanya kati ya mataifa.
Avertisti nos retrorsum post inimicos nostros: et qui oderunt nos, diripiebant sibi.
12 Wewe unawauza watu wako bure; kwa kufanya hivyo haukupata faida.
Dedisti nos tamquam oves escarum: et in Gentibus dispersisti nos.
13 Wewe umetufanya kukemewa na majirani zetu, kuchekwa, na kudhihakiwa na wale wanao tuzunguka.
Vendidisti populum tuum sine pretio: et non fuit multitudo in commutationibus eorum.
14 Umetufaya kituko kati ya mataifa, .......................................................
Posuisti nos opprobrium vicinis nostris, subsannationem et derisum his, qui sunt in circuitu nostro.
15 Siku zote fedheha yangu iko mbele yangu, na aibu ya uso wangu imenifunika
Posuisti nos in similitudinem Gentibus: commotionem capitis in populis.
16 kwa sababu ya sauti yake iliyo kemea na kutukana, kwa sababu ya adui na kisasi.
Tota die verecundia mea contra me est, et confusio faciei meæ cooperuit me,
17 Yote haya yametupata sisi; bado hatukukusahau wewe wala kulikosea agano lako.
a voce exprobrantis, et obloquentis: a facie inimici, et persequentis.
18 Mioyo yetu haikukengeuka; hatua zetu hazikuiacha njia yako.
Hæc omnia venerunt super nos, nec obliti sumus te: et inique non egimus in testamento tuo.
19 Bali wewe umetuadhibu vikali katika mahali pa mbweha na kutufunika na uvuli wa mauti.
Et non recessit retro cor nostrum: et declinasti semitas nostras a via tua:
20 Ikiwa tumelisahau jina la Mungu wetu au kueneza mikono yetu kwa Mungu mgeni,
Quoniam humiliasti nos in loco afflictionis, et cooperuit nos umbra mortis.
21 Mungu asingeligundua hili? Kwa maana yeye anazijua siri za moyo.
Si obliti sumus nomen Dei nostri, et si expandimus manus nostras ad deum alienum:
22 Hakika, kwa ajili ya jina lako tutauawa siku zote; tunahesabiwa kuwa kondoo kwa ajili ya kuchinjwa.
Nonne Deus requiret ista? ipse enim novit abscondita cordis. Quoniam propter te mortificamur tota die: æstimati sumus sicut oves occisionis.
23 Bwana, amka, kwa nini unalala? Inuka, usitutupe moja kwa moja.
Exurge, quare obdormis Domine? exurge, et ne repellas in finem.
24 Kwa nini unaficha uso wako na kusahau mateso yetu na kukandamizwa kwetu?
Quare faciem tuam avertis, oblivisceris inopiæ nostræ et tribulationis nostræ?
25 Kwa maana tumeyeyushwa kwenye mavumbi; miili yetu imeshikamana na ardhi.
Quoniam humiliata est in pulvere anima nostra: conglutinatus est in terra venter noster.
26 Inuka utusaidie na utuokoe kwa ajili ya uaminifu wa agano lako.
Exurge Domine, adiuva nos: et redime nos propter nomen tuum.

< Zaburi 44 >