< Zaburi 4 >

1 Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
Ouve-me; quando eu clamo, ó Deus da minha justiça, na angústia me deste largueza; tem misericórdia de mim e ouve a minha oração.
2 Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
Filhos dos homens, até quando convertereis a minha glória em infâmia? até quando amareis a vaidade e buscareis a mentira? (Selah)
3 Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
Sabei pois que o Senhor separou para si aquele que lhe é querido; o Senhor ouvirá quando eu clamar a ele.
4 Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
Perturbai-vos e não pequeis: falai com o vosso coração sobre a vossa cama, e calai-vos. (Selah)
5 Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
Oferecei sacrifícios de justiça, e confiai no Senhor.
6 Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
Muitos dizem: Quem nos mostrará o bem? Senhor, exalta sobre nós a luz do teu rosto.
7 Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
puseste alegria no meu coração, mais do que no tempo em que se multiplicaram o seu trigo e o seu vinho.
8 Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.
Em paz também me deitarei e dormirei, porque só tu, Senhor, me fazes habitar em segurança.

< Zaburi 4 >