< Zaburi 4 >

1 Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
For the Chief Musician; on stringed instruments. A Psalm of David. Answer me when I call, O God of my righteousness; thou hast set me at large [when I was] in distress: have mercy upon me, and hear my prayer.
2 Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
O ye sons of men, how long shall my glory be turned into dishonour? [how long] will ye love vanity, and seek after falsehood? (Selah)
3 Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
But know that the LORD hath set apart him that is godly for himself: the LORD will hear when I call unto him.
4 Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
Stand in awe, and sin not: commune with your own heart upon your bed, and be still. (Selah)
5 Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
Offer the sacrifices of righteousness, and put your trust in the LORD.
6 Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
Many there be that say, Who will shew us [any] good? LORD, lift thou up the light of thy countenance upon us.
7 Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
Thou hast put gladness in my heart, more than [they have] when their corn and their wine are increased.
8 Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.
In peace will I both lay me down and sleep: for thou, LORD, alone makest me dwell in safety.

< Zaburi 4 >