< Zaburi 4 >

1 Unijibu nikuitapo, Mungu wa haki yangu; uniokoe niwapo katika hatari. Unihurumie na usikie maombi yangu.
Answer me when I call, God of my righteousness. Give me relief from my distress. Have mercy on me, and sh'ma ·hear obey· my prayer.
2 Ninyi watu, mpaka lini mtaiabisha heshima yangu? Mpaka lini mtaendelea kupenda kile kisicho stahili na kutafuta uongo?
You sons of men, how long shall my kavod ·weighty glory· be turned into dishonor? Will you 'ahav ·affectionately love· vanity, and seek after falsehood? (Selah) ·contemplation with musical interlude·
3 Lakini mjue ya kuwa Yahweh huchagua watu wa kimungu kwa ajili yake. Nitakapo mwita Yahwe atasikia.
But know that Adonai has set apart for himself him who is godly: Adonai will sh'ma ·hear obey· when I call to him.
4 Tetemekeni na kuogopa, lakini msitende dhambi! Tafakarini mioyoni mwenu kwenye vitanda vyenu na muwe kimya.
You can be angry, but don’t sin. Search your own heart on your bed, and be still. (Selah) ·contemplation with musical interlude·
5 Toeni matoleo ya haki na muweke imani yenu katika Yahweh.
Offer the sacrifices of righteousness. Put your trust in Adonai.
6 Wengi husema, “Ni nani atakaye tuonyesha chochote kilicho kizuri?” Yahweh, utuangazie nuru ya uso wako.
Many say, “Who will show us any good?” Adonai, let the light of your face shine on us.
7 Umeupa moyo wangu furaha kuu kuliko wao wanapozidishiwa nafaka na divai mpaya.
You have put gladness in my heart, more than when their grain and their new wine are increased.
8 Ni amani kuwa nitajilaza na kusinzia, kwako pekee, Yahweh, nifanye kuwa salama kabisa.
In peace I will both lay myself down and sleep, for you, Adonai alone, make me live in safety.

< Zaburi 4 >