< Zaburi 36 >

1 Dhambi hunena kama unabii katika moyo wa mwovu; machoni mwake hamna hofu ya Mungu.
[For the Chief Musician. By David, the servant of Jehovah.] Transgression speaks to the wicked within his heart. There is no fear of God before his eyes.
2 Kwa maana yeye hujifariji mwenyewe, akifikiria kuwa dhambi zake hazitagundulika na kuchukiwa.
For he flatters himself in his own eyes, too much to detect and hate his sin.
3 Maneno yake ni yenye dhambi na udanganyifu; hataki kuwa mwenye hekima na kutenda mema.
The words of his mouth are iniquity and deceit. He has ceased to be wise and to do good.
4 Alalapo kitandani, hupanga namna ya kutenda dhambi; yeye hukaa nje kwenye nja ya uovu; yeye hakatai uovu.
He plots iniquity on his bed. He sets himself in a way that is not good. He doesn't abhor evil.
5 Uaminifu wa agano lako, Yahwe, unafika mbinguni; uaminifu wako unafika mawinguni.
Your loving kindness, Jehovah, is in the heavens. Your faithfulness reaches to the skies.
6 Haki yako ni kama milima ya Mungu; hukumu yako ni kama kina kirefu. Yahwe, wewe huwahifadhi wote wanadamu na wanyama.
Your righteousness is like the mountains of God. Your judgments are like a great deep. Jehovah, you preserve man and animal.
7 Ni jinsi gani uaminifu wa aganao lako ni wa thamani, Mungu! Watu hukimbilia usalama chini ya uvuli wa mbawa zako.
How precious is your loving kindness, God. The descendants of Adam take refuge under the shadow of your wings.
8 Nao watatoshelezwa tele na utajiri wa chakula nyumbani mwako; utawafanya wanywe kutoka katika mto wa baraka zako za thamani.
They shall be abundantly satisfied with the abundance of your house. You will make them drink of the river of your pleasures.
9 Kwa kuwa mna chemichemi ya uzima; na katika mwanga wako tutaiona nuru.
For with you is the spring of life. In your light shall we see light.
10 Uupanue uaminifu wa agano lako kikamilifu kwa wale wanao kujua wewe, ulinzi wako uwe juu ya wanyoofu wa moyo.
Oh continue your loving kindness to those who know you, your righteousness to the upright in heart.
11 Usiuache mguu wa mwenye kiburi unisogelee. Usiiache mkono wa mwovu unitoweshe.
Do not let the foot of pride come against me. Do not let the hand of the wicked drive me away.
12 Kule wafanyao maovu wameanguka; wameharibiwa hawawezi kuinuka.
There evildoers are fallen. They are thrust down, and shall not be able to rise.

< Zaburi 36 >