< Zaburi 29 >

1 Mpeni sifa Yahwe, enyi wana wa Mungu! Mpeni sifa Yahwe kwa ajili ya utukufu wake na nguvu.
Dai ao Senhor, ó filhos dos poderosos, dai ao Senhor glória e força.
2 Mpeni Yahwe utukufu ambao jina lake linastahili. Mpigieni magoti Yahwe katika mapambo ya utakatifu.
Dai ao Senhor a glória devida ao seu nome, adorai o Senhor na beleza da santidade.
3 Sauti ya Yahwe imesikika zaidi ya maji; Mungu wa radi ya utukufu, radi yaYahwe i juu ya maji mengi.
A voz do Senhor se ouve sobre as suas águas; o Deus da glória troveja; o Senhor está sobre as muitas águas,
4 Sauti ya Yahwe ina nguvu; sauti ya Yahwe ni kuu.
A voz do Senhor é poderosa; a voz do Senhor é cheia de magestade.
5 Sauti ya Yahwe huivunja mierezi; Yahwe huivunja vipande vipande mierezi ya Lebanon.
A voz do Senhor quebra os cedros; sim, o Senhor quebra os cedros do líbano.
6 Yeye huifanya Lebanoni kuruka kama ndama wa ng'ombe na Sirioni kama mwana wa nyati.
Ele os faz saltar como um bezerro; ao líbano e Sirion, como novos unicórnios.
7 Sauti ya Yahwe hutoa miale ya moto.
A voz do Senhor separa as labaredas do fogo.
8 Sauti ya Yahwe hutetemesha Jangwa; Yahwe hutetemesha jangwa la Kadeshi.
A voz do Senhor faz tremer o deserto; o Senhor faz tremer o deserto de Kades.
9 Sauti ya Yahwe huufanya miti mikubwa kutikisika na huipukutisha misitu. Kila mmoja katika hekalu lake husema, “Utukufu!”
A voz do Senhor faz parir as cervas, e descobre as brenhas; e no seu templo cada um fala da sua glória.
10 Yahwe hukaa kama mfalme juu ya mafuriko; Yahwe hukaa kama mfalme milele.
O Senhor se assentou sobre o dilúvio; o Senhor se assenta como Rei, perpetuamente.
11 Yahwe huwatia nguvu watu wake; Yahwe huwa bariki watu wake na amani.
O Senhor dará força ao seu povo; o Senhor abençoará o seu povo com paz

< Zaburi 29 >