< Zaburi 28 >

1 Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
Pesem Davidova. Tebe, Gospod, kličem, skala moja; ne delaj se gluhega obrnen od mene, da ne postanem, ako bodeš nem, od mene obrnen, podoben njim, ki v grob gredó.
2 Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
Čuj prošenj mojih glas, ko vpijem k tebi; ko molím roke svoje proti hramu tvoje svetosti.
3 Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
Ne potegni me med hudobne in njé, ki delajo krivico; ki govoré mir z bližnjimi svojimi, hudobija pa biva v njih srci.
4 Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
Daj jim po njih delu, in po hudobnosti njih dejanj; po delu njih rók jim daj, povrni jim povračilo svoje.
5 Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
Ker ne menijo se za dela Gospodova, in za stvarjenje rok njegovih: podere jih, a postavi jih ne.
6 Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
Blagoslovljen Gospod, ker je uslišal prošenj mojih glas;
7 Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
Gospod moč moja in ščit moj; njemu zaupa srce moje, in pomaga mi; zatorej se raduje srce moje, da ga slavim s pesmijo svojo.
8 Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
Gospod je moč moja, in preblaga moč je Maziljenec njegov.
9 Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.
Reši ljudstvo svoje, in blagoslovi svojo last; in pasi jih ter povzdigni jih na veke.

< Zaburi 28 >