< Zaburi 26 >

1 Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
A psalm of David. Defend me, O Lord, for my walk has been blameless; in the Lord have I trusted unswervingly:
2 Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
Examine me, Lord, and test me; test my heart and my mind.
3 Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
For your love is before my eyes, and your faithfulness governs my way.
4 Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
I never sat down with the worthless, nor companied with dissemblers.
5 Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
I hate the assembly of knaves, I would never sit down with the wicked;
6 Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
but, with hands washed in innocence, I would march round your altar, O Lord,
7 kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
singing loud songs of thanks, and telling of all your wonders.
8 Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
O Lord, I love your house, the place where your glory lives.
9 Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
Do not gather me up with sinners; slay me not with people of blood,
10 ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
whose hands are stained with villainy, and whose right hand is filled with bribes.
11 Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
But my walk is blameless! O redeem me, be gracious to me.
12 Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!
My foot stands on even ground, in the choirs I will bless the Lord.

< Zaburi 26 >