< Zaburi 25 >

1 Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
Of David to you O Yahweh desire my I lift up.
2 Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
O God my in you I trust may not I be ashamed may not they exult enemies my to me.
3 Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
Also all [those who] wait for you not they will be ashamed they will be ashamed those [who] act treacherously in vain.
4 Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
Ways your O Yahweh make known to me paths your teach me.
5 Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
Lead me in truth your - and teach me for you [are] [the] God of salvation my you I have waited for all the day.
6 Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
Remember compassion your O Yahweh and covenant loyalti your for [are] from long ago they.
7 Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
[the] sins of Youth my - and transgressions my may not you remember according to covenant loyalty your remember me you on account of goodness your O Yahweh.
8 Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
[is] good And upright Yahweh there-fore he teaches sinners the way.
9 Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
He leads humble [people] in justice so he may teach humble [people] way his.
10 Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
All [the] paths of Yahweh [are] covenant loyalty and faithfulness to [those who] keep covenant his and testimonies his.
11 Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
For [the] sake of name your O Yahweh you will forgive iniquity my for [is] great it.
12 Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
Who? this [is] the person fearing Yahweh he teaches him [the] way [which] he will choose.
13 Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
Self his in good it will remain and offspring his it will possess [the] land.
14 Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
[the] counsel of Yahweh [belongs] to [those] fearing him and covenant his to make known to them.
15 Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
Eyes my continually [are] to Yahweh for he he will bring out from [the] net feet my.
16 Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
Turn to me and show favor to me for [am] solitary and afflicted I.
17 Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
[the] troubles of Heart my they have made wide from distresses my deliver me.
18 Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
Consider affliction my and trouble my and forgive to all sins my.
19 Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
Consider enemies my for they have become many and hatred of violence they have hated me.
20 Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
Preserve! life my and deliver me may not I be put to shame for I have taken refuge in you.
21 Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
Integrity and uprightness may they preserve me for I have waited for you. (Yahweh *X)
22 Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!
redeem O God Israel from all troubles its.

< Zaburi 25 >