< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Načelniku godbe, psalm Davidov. Usliši te naj Gospod ob času stiske; na višavo naj te postavi ime Boga Jakobovega.
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Pošlje naj ti pomoč iz svetišča, in sè Sijona naj te podpira.
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Dúha naj vse dari tvoje, in upepeli naj žgalno daritev tvojo.
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Dá ti naj po srci tvojem, in izpolni naj vsak sklep tvoj.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Prepevajmo o blaginji tvoji; in v imenu Boga našega nosimo zastave; izpolni naj Gospod vse prošnje tvoje.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Zdaj spoznavam, da Gospod brani maziljenca svojega, usliši ga z nebes svetosti svoje; po največji kreposti, blaginji desnice svoje.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Ti vóz, in oni kónj, mi pa se spominjamo imena Gospoda, Boga našega.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Oni se pripogibajo in padajo; mi pa vstajamo in stojimo.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Gospod, reši! kralj sam naj usliši nas ob času, ko ga bodemo klicali.

< Zaburi 20 >