< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
Dem Sangmeister. Ein Psalm Davids. Jehovah antworte dir am Tage der Drangsal! Der Name des Gottes Jakobs hebe dich empor!
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
Er sende dir Beistand aus dem Heiligtum, und unterstütze dich aus Zion!
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
Er gedenke aller deiner Speiseopfer, und dein Brandopfer sei fett. (Selah)
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
Er gebe dir nach deinem Herzen, und erfülle alle deine Ratschläge.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
Lobsingen wollen wir ob Deines Heils, und das Banner erheben im Namen unseres Gottes. Jehovah erfülle dir all deine Bitte.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Nun erkenne ich, daß Jehovah Seinen Gesalbten rettet, daß Er ihm antwortet aus den Himmeln Seiner Heiligkeit, durch die Machttaten des Heils Seiner Rechten.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
Diese gedenken der Streitwagen und jene der Rosse, wir aber des Namens Jehovahs, unseres Gottes.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
Jene krümmen sich und fallen, wir aber machen uns auf und stehen fest.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
Jehovah, rette! Der König antworte uns am Tage, da wir rufen.

< Zaburi 20 >