< Zaburi 20 >

1 Kwa kiongozi wa muziki. Zaburi ya Daudi. Mungu akusaidie wakati wa shida; na jina la Mungu wa Yakobo likulinde
To the choirmaster a psalm of David. May he answer you Yahweh in a day of trouble may it set on high you [the] name of - [the] God of Jacob.
2 na kutuma msaada kutoka mahali patakatifu kwa ajili ya kukutegemeza wewe kutoka Sayuni.
May he send help your from [the] sanctuary and from Zion may he support you.
3 Naye akumbuke sadaka yako yote na kuipokea sadaka ya kuteketezwa.
May he remember all offerings your and burnt offering your may he accept! (Selah)
4 Naye akujalie haja za moyo wako na kutimiza mipango yako yote.
May he give to you according to heart your and every plan your may he fulfill.
5 Ndipo tutakapo shangilia katika ushindi wako, na, katika jina la Mungu wetu, tutapeperusha bendera. Yahwe naakupe maombi yako yote ya haki.
We will shout for joy - at victory your and in [the] name of God our we will raise a banner may he fulfill Yahweh all requests your.
6 Sasa ninajua ya kuwa Yahwe atawaokoa wapakwa mafuta wake; yeye atamjibu yeye kutoka katika mbingu takatifu kwa uweza wa mkono wake wa kuume ambao waweza kumuokoa yeye.
Now I know that he delivers - Yahweh anointed his he answers him from [the] heavens of holiness his with [the] mighty deeds of salvation of right [hand] his.
7 Baadhi hamini katika magari na wengine katika farasi, lakini sisi tumuita Yahwe Mungu wetu.
These chariotry and these horses and we - [the] name of Yahweh God our we bring to remembrance.
8 Wao watashushwa chini na kuanguka, bali sisi tutainuka na kusimama wima!
They they bow down and they fall and we we arise and we have kept upright.
9 Yahwe, umuokoe mfalme; utusaidie sisi tukuitapo.
O Yahweh save! the king may he answer us on [the] day call out we.

< Zaburi 20 >