< Zaburi 17 >

1 Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
Molitev Davidova: Čuj, Gospod, pravico, poslušaj vpitje moje; uho nagni molitvi moji brez ustnic zvijačnih.
2 Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
Od obličja tvojega izidi pravica moja; oči tvoje naj gledajo, kar je pravično.
3 Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
Ko bodeš preiskal srce moje, obiskal ponoči, preskušal me, ne najdeš; kar mislim, ne prestopi mojih ust.
4 Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
Pri delih človeških, po besedi ustnic tvojih opazujem steze silovitega.
5 Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
Ohrani korake moje na stezah svojih, da ne zaidejo moje noge.
6 Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
Jaz te kličem, ker me slišiš, Bog mogočni; nagni k meni uho svoje, poslušaj govor moj.
7 Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
Odloči milosti svoje, o ti, ki otimaš preganjalcev pribegajoče na desnico tvojo.
8 Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
Hrani me kakor zenico v očesu; sè senco peroti svojih skrivaj me:
9 kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
Zaradi krivičnih, ki me napadajo, sovražnikov mojih glavnih, ki me obdajajo.
10 Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
Mast svojo masté, z usti svojimi govoré prevzetno:
11 Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
Hojo našo zdaj obdajajo nam; oči svoje obračajo vpirajoč v tla.
12 Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
Podoba je vsakega kakor leva želečega zgrabiti, in kakor mladega leva čepečega v zakotji.
13 Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
Vstani, Gospod, prehítí obličje njegovo; trešči ga, izpuli dušo mojo z mečem svojim krivičnemu.
14 Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
Ljudém izpuli v roko svojo, Gospod, ljudém od svetá, katerih delež je v tem življenji, katerim trebuh polniš sè skrivnim zakladom svojim; sitijo se sinovi in preobilost svojo zapuščajo otrokom svojim.
15 Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.
Jaz bodem v pravičnosti videl obličje tvoje, sitil se bodem, ko se zbudim, s podobo tvojo.

< Zaburi 17 >