< Zaburi 15 >

1 Zaburi ya Daudi. Yahwe, ni nani atabaki hemani mwako? Ni nani atakaye ishi kwenye mlima wako mtakatifu?
Pakai na intheng sungaa kon nangma nahou ding hitam? Koiham nalhang thenga na angsunga hunglut ding?
2 Yeyote anaye tembea bila lawama, yeye hufanya kilicho haki na huongea ukweli kutoka moyoni mwake.
Hitobang mi themmona bei, thil dihjeng bol, lungthim theng pumma thudih jeng seiho.
3 Yeye huwa hakashfu kwa ulimi wake, hawadhuru wengine, na hamtusi jirani yake.
Akam a miseiset ding nomlou chule aheng akom chunga thilse bollou, ahiloule aloi agol chunga thilse seinomlou.
4 Mtu asiye na maana hudharauliwa machoni pake, bali yeye huwaheshimu wale wanao mhofu Yahwe. Yeye huapa kwa hasara yake mwenyewe na habadilishi ahadi yake.
Chonset kithang-atpiho theinomlou va, Pakai dihtah a juiho ngaisanga, chuleh itobangin hahsa jongleh akitepna nitjingho.
5 Yeye habadilishi nia yake aazimapo fedha. Yeye hachukui rushwa ili kumshuhudia kinyume asiye na hatia. Yeye afanyanyaye mbambo haya hatatikisika kamwe.
Athoi lalouva sumpa homho chuleh setna neilouho, ahethemlou ho lhemlha a phatchomna sum hol lou. Hitobang miho chu ahinkhouva dingdet jingding ahiuve.

< Zaburi 15 >