< Zaburi 149 >

1 Msifuni Yahwe. Mwimbieni Yahwe wimbo mpya; imbeni sifa zake katika kusanyiko la waaminifu.
Haleluja! Kantu al la Eternulo novan kanton, Lian gloron en la anaro de fideluloj.
2 Israeli ishangilie katika yeye aliye iumba; watu wa Sayuni na washangilie katika mfalme wao.
Izrael ĝoju pri sia Kreinto, La filoj de Cion ĝoju pri sia Reĝo.
3 Nao walisifu jina lake kwa kucheza; na wamuimbie sifa yeye kwa ngoma na kinubi.
Ili gloru Lian nomon en danco, Per tamburino kaj harpo ili muziku al Li.
4 Kwa kuwa Yahwe hupata furaha katika watu wake; huwapa utukufu wanyeyekevu kwa wokovu.
Ĉar al la Eternulo plaĉas Lia popolo; Li ornamas humilulojn per savo.
5 Wacha Mungu wauchangilie ushindi; nao waimbe kwa furaha vitandani mwao.
La fideluloj ĝoju en honoro, Kantu ĝoje sur siaj kuŝejoj.
6 Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao na panga mbili zenye makali mkononi mwao
Glorado al Dio estas en ilia buŝo, Kaj dutranĉa glavo en ilia mano,
7 kutekeleza kisasi juu ya mataifa na matendo ya adhabu juu ya watu.
Por fari venĝon super la popoloj, Punkorektadon super la gentoj;
8 Nao watawafunga wafalme wao kwa minyororo na wakuu wao kwa pingu za chuma. Watatekeleza hukumu ambayo imeandikwa.
Por malliberigi iliajn reĝojn per ĉenoj Kaj iliajn eminentulojn per feraj katenoj;
9 Hii itakuwa ni heshima kwa ajili ya watakatifu wake wote. Msifuni Yahwe.
Por fari super ili antaŭdestinitan juĝon. Tio estas honoro por ĉiuj Liaj fideluloj. Haleluja!

< Zaburi 149 >