< Zaburi 146 >

1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Praise Yahweh praise O self my Yahweh.
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
I will praise Yahweh in life my I will sing praises to God my in duration my.
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
May not you trust in noble [people] in a child of humankind - whom not [belongs] to him deliverance.
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
It will go out breath his he will return to earth his on the day that they have perished plans his.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
How blessed! [is one] whom [the] God of Jacob [is] help his hope his [is] on Yahweh God his.
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
[who] made - Heaven and earth the sea and all that [is] in them who keeps faithfulness for ever.
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
[who] does Justice - for the oppressed [who] gives food to the hungry [people] Yahweh [is] setting free prisoners.
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
Yahweh - [is] opening blind [people] Yahweh [is] raising up [those who] are bent down Yahweh [is] loving righteous [people].
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
Yahweh - [is] watching over sojourners [the] fatherless and widow[s] he helps up and [the] way of wicked [people] he makes crooked.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
He will reign Yahweh - for ever God your O Zion to a generation and a generation praise Yahweh.

< Zaburi 146 >