< Zaburi 146 >

1 Msifu Yahwe. Msifu Yahwe, ee nafsi yangu.
Halleluyah ·praise Yah·! Praise Adonai, my soul.
2 Ninamsifu Mungu maisha yangu yote; nitamuimbia sifa Mungu wangu ni ngali ni hai.
While I live, I will praise Adonai. I will sing zahmar ·musical praise· to my God as long as I exist.
3 Msiweke imani katika wakuu au wanadamu, ambaye katika yeye hamna wokovu.
Don’t put your trust in princes, each a son of man in whom there is no help.
4 Wakati uhai wa pumzi ya mtu unapokoma, hurudi aridhini; siku hiyo mipango yake hufikia mwisho.
His spirit departs, and he teshuvah ·completely returns· to the earth. In that very day, his thoughts perish.
5 Amebarikiwa yule ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake, ambaye tumaini lake liko katika Yahwe Mungu wake.
Happy is he who has the God of Jacob [Supplanter] for his help, whose hope is in Adonai, his God:
6 Yahwe aliumba mbingu na nchi, bahari, na vyote vilivyomo; huitazama kweli milele.
who made heaven and earth, the sea, and all that is in them; who keeps truth forever;
7 Yeye hutekeleza hukumu kwa ajili ya walioonewa na huwapa chakula wenye njaa. Yahwe huwafungua waliofungwa;
who executes mishpat ·justice· for the oppressed; who gives food to the hungry. Adonai frees the prisoners.
8 Yahwe huyafungua macho ya kipofu; Yahwe huwainua walioinama; Yahwe huwapenda watu wenye haki.
Adonai opens the eyes of the blind. Adonai raises up those who are bowed down. Adonai 'ahav ·affectionately loves· the upright.
9 Yahwe huwalinda wageni katika nchi; huwainua yatima na wajane, bali huipinga njia ya wasio haki.
Adonai preserves the foreigners. He upholds the fatherless and widow, but the way of the wicked he turns upside down.
10 Yahwe atatawala milele, Mungu wako, Sayuni, kwa vizazi vyote. Msifuni Yahwe.
Adonai will reign forever; your God, O Zion [Mountain ridge, Marking], to all generations. Halleluyah ·praise Yah·!

< Zaburi 146 >