< Zaburi 142 >

1 Kwa sauti yangu namlilia Yahwe anisaidie; kwa sauti yangu naomba kwa ajili ya neema ya Yahwe.
Pesem ukovita Davidova, ko je bil v jami, molitev. Z glasom svojim kličem Gospoda; z glasom svojim prosim pred Gospodom.
2 Namwaga malalamiko yangu mbele zake; ninamwambia shida zangu.
Pred njim iztresam premišljevanje svoje; stisko svojo oznanjam pred njim.
3 Roho yangu inapokuwa dhaifu ndani yangu, wewe unajua mapito yangu. Kwenye njia niipitayo wamenifichia mtego.
Ko je omagoval moj duh v meni, takrat si ti spoznal stezo mojo, ko so mi skrivali zanko, kamorkoli sem popotoval.
4 Natazama kulia kwangu na sioni yeyote anayenijali. Sina pa kukimbilia; hakuna anayejali kuhusu uhai wangu.
Ozri se na desno in poglej; ni ga, da bi me poznal; izginilo mi je zavetje, ni ga, da bi skrbel za življenje moje.
5 Nilikuita wewe, Yahwe; nikasema, “Wewe ni kimbilio langu, fungu langu katika nchi ya walio hai.
K tebi kličem, Gospod, govoreč: Ti si zavetje moje, delež moj v deželi živečih.
6 Sikia kuita kwangu, maana nimeshushwa chini sana; uniokoe dhidi ya watesi wangu, maana wana nguvu kuliko mimi.
Poslušaj vpitje moje, ker ponižan sem silno; otmi me njih, ki me preganjajo, ker močnejši so od mene.
7 Uitoe nafsi yangu kifungoni ili niweze kulishukuru jina lako. Wenye haki watakusanyika karibu nami kwa sababu umekuwa mwema kwangu.”
Izpelji iz zapora življenje moje, da slavim ime tvoje; obdajali me bodo pravični, ko mi bodeš izkazal dobroto.

< Zaburi 142 >