< Zaburi 141 >

1 Ee Yahwe, ninakulilia wewe; uje upesi kwangu. Unisikilize nikuitapo.
Dāvida dziesma. Kungs, Tevi es piesaucu, steidzies pie manis, klausies uz manu balsi, kad es Tevi piesaucu.
2 Maombi yangu na yawe kama uvumba mbele zako; mikono yangu iliyoinuliwa na iwe kama dhabihu ya jioni.
Lai mana lūgšana Tavā priekšā top cienīta kā kvēpināmais upuris, manu roku pacelšana kā vakara upuris.
3 Ee Yahwe, uweke mlinzi kinywani mwangu; mngojezi malangoni pa midomo yangu.
Kungs, sargi manu muti un pasargi manas lūpas.
4 Usiruhusu tamaa ya moyo wangu kutamani uovu wowote wala kushiriki katika matendo ya dhambi na watu waishio maovuni. Nisile vyakula vyao vya anasa.
Nedod manai sirdij griezties uz ļaunu, bezdievīgu darbu darīt ar ļaundarītājiem, ka nebaudu no viņu kārumiem.
5 Mwenye haki na anipige; nao utakuwa ni wema kwangu. Anirudi; itakuwa kama mafuta kichwani pangu; kichwa changu na kisikatae kupokea. Lakini maombi yangu siku zote yatakuwa dhidi ya matendo yao mauvu.
Lai taisnais mani sit, tā būs žēlastība, un lai viņš mani pārmāca, tā būs eļļa uz manu galvu, tam lai mana galva neliedzās; bet es vienmēr lūdzu pret viņu ļauniem darbiem.
6 Viongozi wao watatupwa chini toka juu mlimani; watayasikia maneno yangu kuwa ni matamu.
No akmens kalniem viņu soģi lai top nogāzti; tad dzirdēs manus vārdus, ka tie mīlīgi.
7 Watalazimika kusema, “Kama vile jembe moja livunjapo ardhi, hivyo mifupa yetu imesambaratishwa kinywani pa kuzimu.” (Sheol h7585)
Kā zemi uzplēš un uzar, tā mūsu kauli ir izkaisīti līdz pašam kapam. (Sheol h7585)
8 Hakika macho yangu yanakutazama wewe, Yahwe, Bwana; katika wewe napata kimbilio; usiiache nafsi yangu.
Bet uz Tevi, Kungs, Dievs, manas acis raugās, uz Tevi paļaujos, neatstum manu dvēseli.
9 Unilinde dhidi ya mitego waliyoiweka kwa ajili yangu, na matanzi yao watendao maovu.
Pasargi mani no tā valga, ko tie man ir izmetuši, un no ļauna darītāju slazdiem.
10 Waovu na waangukie kwenye nyavu zao wenywe pindi mimi nitorokapo.
Bezdievīgie kritīs savos tīklos, kamēr es iešu garām.

< Zaburi 141 >