< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ẹ fi ọpẹ́ fún Olúwa nítorí tí ó ṣeun;
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ẹ fi ọpẹ́ fún Ọlọ́run àwọn ọlọ́run:
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ẹ fi ọpẹ́ fún Olúwa àwọn olúwa,
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Fún Òun nìkan tí ń ṣiṣẹ́ ìyanu ńlá;
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Fún ẹni tí ó fi ọgbọ́n dá ọ̀run;
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Fún ẹni tí ó tẹ́ ilẹ̀ lórí omi;
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Fún ẹni tí ó dá àwọn ìmọ́lẹ̀ ńlá;
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Òòrùn láti jẹ ọba ọ̀sán;
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Òṣùpá àti ìràwọ̀ láti jẹ ọba òru;
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Fún ẹni tí ó kọlu Ejibiti lára àwọn àkọ́bí wọn;
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ó sì mú Israẹli jáde kúrò láàrín wọn;
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Pẹ̀lú ọwọ́ agbára àti apá nínà;
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Fún ẹni tí ó pín Òkun pupa ní ìyà;
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ó sì mú Israẹli kọjá láàrín rẹ̀
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ṣùgbọ́n ó bi Farao àti ogun rẹ̀ ṣubú nínú Òkun pupa;
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Fún ẹni tí ó sin àwọn ènìyàn rẹ̀ la aginjù já
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Fún ẹni tí ó kọlu àwọn ọba ńlá;
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ó sì pa àwọn ọba olókìkí
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Sihoni, ọba àwọn ará Amori
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Àti Ogu, ọba Baṣani;
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ó sì fi ilẹ̀ wọn fún ni ní ìní,
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ìní fún Israẹli, ìránṣẹ́ rẹ̀,
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ẹni tí ó rántí wa ní ìwà ìrẹ̀lẹ̀ wa;
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ó sì dá wa ní ìdè lọ́wọ́ àwọn ọ̀tá wa;
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ẹni tí ó fi oúnjẹ fún àwọn ẹ̀dá gbogbo
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ẹ fi ọpẹ́ fún Ọlọ́run ọ̀run;

< Zaburi 136 >