< Zaburi 136 >

1 Oh, mshukuruni Yahwe; kwa kuwa ni mwema, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Slavite Gospoda, ker dober je, ker vekomaj je milost njegova.
2 Oh, Mshukuruni Mungu wa miungu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Slavite bogov Boga, ker vekomaj je milost njegova.
3 Oh, mshukuruni Bwana wa mabwana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Slavite gospodov Gospoda, ker vekomaj je milost njegova.
4 Mshukuruni yeye ambaye peke yake hufanya maajabu makuu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Njega, ki dela čudovita dela, velika sam, ker vekomaj je milost njegova.
5 Yeye aliyezifanya mbingu kwa hekima zake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kateri je naredil z umnostjo nebesa; ker vekomaj je milost njegova.
6 Mshukuruni yeye alitetandaza nchi juu ya maji, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kateri razpenja zemljo nad vodami, ker vekomaj je milost njegova.
7 Yeye aliyefanya mianga mikubwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kateri je naredil luči veliko, ker vekomaj je milost njegova.
8 Mshukuruni yeye alipaye jua kutawala mchana, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Solnce, da gospoduje podnevi, ker vekomaj je milost njegova.
9 Mwezi na nyota vitawale usiku, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Mesec sè zvezdami, da gospodujejo ponoči, ker vekomaj je milost njegova.
10 Mshukuruni yeye aliyewaua wazaliwa wa kwanza wa Misri, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kateri je udaril Egipčane v njih prvorojenih, ker vekomaj je milost njegova.
11 Akawatoa Waisraeli kati yao, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In izpeljal je Izraela iz med njih, ker vekomaj je milost njegova;
12 Kwa mkono hodari na mkono ulio nyooshwa, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Z močno pestjo in z iztegneno roko, ker vekomaj je milost njegova.
13 Mshukuruni yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kateri je razdelil morje trstovito na kose, ker vekomaj je milost njegova;
14 Na kuwapitisha Waisraeli katikati yake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In peljal Izraela po sredi njegovi, ker vekomaj je milost njegova.
15 Lakini akamtupa Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In podrl je Faraona in krdela njegova v morje trstovito, ker vekomaj je milost njegova.
16 Mshukuruni yeye aliye waongoza watu wake jangwani, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wa milele.
Kateri je peljal ljudstvo svoje skozi puščavo, ker vekomaj je milost njegova.
17 Yeye aliyewaua wafalme wakuu, kwa maana uaminifu wa agano lake ni wadumu milele.
Kateri je udaril kralje velike, ker vekomaj je milost njegova.
18 Mshukuruni yeye aliyewaua wafalme maarufu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In pobil je kralje veličastne, ker vekomaj je milost njegova:
19 Sihoni mfalme wa Waamori, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Sihona, kralja Amorejskega, ker vekomaj je milost njegova;
20 Na Ogu, mfalme wa Bashani, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In Oga, kralja Basanskega, ker vekomaj je milost njegova.
21 Mshukuruni yeye aliyewapa nchi yao kama urithi, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In dal je njih deželo v posest, ker vekomaj je milost njegova;
22 Urithi wa Israel mtumishi wake, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Posest Izraelu, svojemu hlapcu, ker vekomaj je milost njegova.
23 Yeye aliyetukumbuka na kutusaidia katika unyonge wetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Kateri v ponižanji našem spominja se nas, ker vekomaj je milost njegova.
24 Mshukuruni yeye ambaye ametupa ushindi juu ya aui zetu, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
In otima nas sovražnikov naših, ker vekomaj je milost njegova.
25 Yeye awapaye chakula viumbe hai wote, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Ki daje hrane vsemu mesu, ker vekomaj je milost njegova.
26 Oh, mshukuruni Mungu wa mbinguni, kwa maana uaminifu wa agano lake wadumu milele.
Slavite Boga mogočnega nebes, ker vekomaj je milost njegova.

< Zaburi 136 >