< Zaburi 135 >

1 Msifuni Yahwe. Lisifuni jina la Yahwe. Msifuni yeye, enyi watumishi wa Yahwe,
Alleluja. Chwalcie imię PANA; chwalcie, słudzy PANA;
2 ninyi msimamao katika nyumba ya Yahwe, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.
Którzy stoicie w domu PANA, w przedsionkach domu naszego Boga.
3 Msifuni Yahwe, kwa kuwa ni mwema; liimbieni sifa jina lake, maana ni vizuri kufanya hivyo.
Chwalcie PANA, bo PAN jest dobry; śpiewajcie jego imieniu, bo [jest] wdzięczne.
4 Kwa kuwa Yahwe amemchagua Yakobo kwa ajili yake mwenyewe, Israeli kama urithi wake.
PAN bowiem wybrał sobie Jakuba i Izraela na swoją szczególną własność.
5 Najua ya kuwa Yahwe ni mkuu, na kwamba Bwana wetu yuko juu ya miungu yote.
Wiem, że wielki jest PAN, a nasz Pan jest ponad wszystkimi bogami.
6 Chochote Yahwe apendacho, hufanya mbinguni, duniani, katika bahari na katika vilindi vyote.
Wszystko, co PAN chce, to czyni na niebie i na ziemi, w morzu i we wszystkich głębinach.
7 Hushusha mawingu kutoka mbali, akifanya mianga ya radi kuongozana na mvua na kuleta upepo toka katika ghala yake.
On sprawia, że mgły wznoszą się z krańców ziemi; wywołuje błyskawice i deszcz, wydobywa wiatr ze swoich skarbców;
8 Aliua mzaliwa wa kwanza wa Misri, wote wanadamu na wanyama.
Poraził pierworodnych w Egipcie, od człowieka aż do zwierzęcia.
9 Alituma ishara na maajabu kati yako Misri, dhidi ya Farao na watumishi wake wote.
Zesłał znaki i cuda pośród ciebie, Egipcie; na faraona i na wszystkie jego sługi.
10 Aliwashambulia mataifa mengi na aliua wafalme wenye nguvu,
Pobił wiele narodów i zgładził potężnych królów;
11 Sihoni mfalme wa Waamori na Ogu mfalme wa Bashani na falme zote za Kanaani.
Sychona, króla Amorytów, i Oga, króla Baszanu, i wszystkie królestwa Kanaanu;
12 Alitupatia sisi nchi yao kama urithi, urithi wa Israeli watu wake.
I dał ich ziemię w dziedzictwo, w dziedzictwo Izraelowi, swemu ludowi.
13 Jina lako, Yahwe, inadumu milele; Yahwe, kumbukumbu lako vizazi hata vizazi.
Twoje imię, PANIE, [trwa] na wieki; twoja pamięć, PANIE, z pokolenia na pokolenie.
14 Kwa kuwa Bwana huwatetea watu wake na anahuruma juu ya watumishi wake.
Bo PAN będzie sądzić swój lud i zmiłuje się nad swymi sługami.
15 Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu, kazi ya mikono ya wanadamu.
Bożki pogan to srebro i złoto, dzieło ludzkich rąk.
16 Sanamu hizo zina vinywa, lakini haziongei; zina macho, lakini hazioni;
Mają usta, ale nie mówią; mają oczy, ale nie widzą;
17 zina masikio, lakini hazisikii, wala vinywani mwao hamna pumzi.
Mają uszy, ale nie słyszą, i nie ma oddechu w ich ustach.
18 Wale wazitengenezao wanafanana nazo, vilevile kila anaye zitumainia.
Podobni są do nich ci, którzy je robią, i wszyscy, którzy w nich pokładają ufność.
19 Enyi kizazi cha Israeli, mtukuzeni Yahwe; kizazi cha Haruni, mtukuzeni Yahwe.
Domu Izraela, błogosławcie PANA; domu Aarona, błogosławcie PANA.
20 Kizazi cha Lawi, mtukuzeni Yahwe.
Domu Lewiego, błogosławcie PANA; wy, którzy się boicie PANA, błogosławcie PANA.
21 Atukuzwe Yahwe katika Sayuni, yeye aishiye Yerusalemu. Msifuni Yahwe.
Niech będzie błogosławiony z Syjonu PAN, który mieszka w Jeruzalem. Alleluja.

< Zaburi 135 >