< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Pesem preizvrstna. Mnogo so me stiskali od mladosti moje, govori naj sedaj Izrael.
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Mnogo so me stiskali od mladosti moje; vendar me niso zmogli.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Po hrbtu so mi orali orači, potegnili so vsako črto svojo.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Gospod pravični presekal je debele vrvi krivičnih.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Osramotili se bodo in nazaj pognali vsi sovražniki Sijonovi.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Bodo kakor seno na strehah, katero usahne, predno se izdere,
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
S katerim ne napolni roke svoje žanjec, ali naročja svojega, kdor veže snope.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
In ne porekó mimo gredoči: Blagoslov Gospodov bodi z vami; blagoslavljamo vas v imenu Gospodovem.

< Zaburi 129 >