< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
Canticum graduum. Sæpe expugnaverunt me a iuventute mea, dicat nunc Israel.
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Sæpe expugnaverunt me a iuventute mea: etenim non potuerunt mihi.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Supra dorsum meum fabricaverunt peccatores: prolongaverunt iniquitatem suam.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Dominus iustus concidit cervices peccatorum:
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
confundantur et convertantur retrorsum omnes, qui oderunt Sion.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
Fiant sicut fœnum tectorum: quod priusquam evellatur, exaruit:
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
De quo non implevit manum suam qui metit, et sinum suum qui manipulos colligit.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
Et non dixerunt qui præteribant: Benedictio Domini super vos: benediximus vobis in nomine Domini.

< Zaburi 129 >