< Zaburi 129 >

1 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia,” Israeli na iseme.
A Song of the Ascents. Often they distressed me from my youth, Pray, let Israel say:
2 “Mara nyingi tangu ujana wangu wamekuwa wakinishambulia, lakini hawajanishinda.
Often they distressed me from my youth, Yet they have not prevailed over me.
3 Wakulima wamekuwa wakilima mgonngoni kwangu; wametengeneza matuta yao marefu.
Over my back have ploughers ploughed, They have made long their furrows.
4 Yahwe ni mwenye haki; amezikata kamba za waovu.”
Jehovah [is] righteous, He hath cut asunder cords of the wicked.
5 Wote waaibishwe na kurudishwa nyuma, wale wachukiao Sayuni.
Confounded and turn backward do all hating Zion.
6 Na wawe kama nyasi juu ya paa ambayo hunyauka kabla hayajakua,
They are as grass of the roofs, That before it was drawn out withereth,
7 ambayo hayawezi kujaza mkono wa mvunaji wala kifua cha mfunga miganda.
That hath not filled the hand of a reaper, And the bosom of a binder of sheaves.
8 Wale wapitao karibu wasiseme, “Baraka za Mungu na ziwe juu yako; Tunakubariki katika jina la Yahwe.”
And the passers by have not said, 'The blessing of Jehovah [is] on you, We blessed you in the Name of Jehovah!'

< Zaburi 129 >