< Zaburi 128 >

1 Amebarikiwa kila mtu amchaye Yahwe, atembeaye katika njia zake.
Koi hileh Pakai ginggeh’a uma Ama lunglhaina lampia kalsongho chu anunnom ahiuve.
2 Kazi ya mikono yako, wewe utaifurahia; utabarikiwa na kufanikiwa.
Nangin nakhutsoh natohga naneh ding ahin, iti nakipading hitam na hinkho kiledoh ding ahitai.
3 Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao katika nyumba yako; wanao watakuwa kama miche ya mimea ya mizeituni wakaapo kuzunguka meza yako.
Nainsunga najinu jong lengpigui ga phatah banga phatthei punna hiding, ankong phunga an naneh khompi nachate melhoitah tah Olive thingbah lhoutah bangdiu ahi.
4 Ndiyo, hakika, mtu anaye muheshimu Yahwe atabarikiwa.
Veuvin, Pakai gingte phatthei achandingu chu hitobang hi hiding ahi.
5 Mungu na akubariki toka Sayuni; na uweze kuona mafanikio ya Yerusalemu siku zote za maisha yako.
Pakai in Zion a kon in phatthei nabohjing jinghen, nahinkho lhumkei in Jerusalem machalna mujing jingin.
6 Uishi uwaone wana wa wanao. Amani iwe na Israli.
Natuson gei in jong hin munlang, Israel chungah chamleng hen!

< Zaburi 128 >