< Zaburi 127 >

1 Yahwe asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure. Yahwe asipoulinda mji, aulindaye afanya kazi bure.
Pesem preizvrstna za Salomona. Ako Gospod ne zida hiše, zastonj bi se trudili zanjo zidarji; ako Gospod ne varuje mesta, zastonj bi bil priden čuvaj.
2 Ni kazi bure kwa wewe unayeamka mapema, na kulala kwa kuchelewa, au kula mkate kwa kuufanyia kazi ngumu, maana Yahwe huwapa chakula awapendao hata wawapo usingizini.
Zastonj vam bodijo, kateri vstajajo pred svitom, ki sedévajo pozno, ki uživajo jed bolečin; tako daje ljubljencu svojemu spanje.
3 Tazama, wana ni urithi kutoka kwa Yahwe, uzao wa tumbo ni thawabu kutoka kwake.
Glej, posest Gospodova so sinovi; plačilo sad telesni.
4 Kama mishale mkononi mwa shujaa, ndivyo walivyo wana wa ujanani.
Kakor pušice v močnega roki, tako so dečki.
5 Ni namna gani alivyo barikiwa mtu ambaye amelijaza podo lake hivyo. Hata aibishwa pindi atakapo kabiliana na adui zake katika lango.
Blagor možu, kateri bode napolnil tul z njimi; ne bode jih sram, temuč sovražnike pokončajo v njih vratih.

< Zaburi 127 >