< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
Pesem preizvrstna. Kateri zaupajo Gospodu, podobni so gori Sijonski, ki se ne gane, vekomaj ostane.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
Kakor obdajajo Jeruzalem gore, tako obdaja Gospod ljudstvo svoje; od tega časa na vekomaj.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
Ker šiba krivice ne počiva nad deležem pravičnih; da ne iztegnejo pravični na nobeno krivico rok svojih.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Blagoslovi, Gospod, dobre in pravične v srcih svojih.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
Kateri pa zavijajo na kriva pota svoja, pokori jih naj Gospod z njimi, ki delajo krivico. Mir Izraelu!

< Zaburi 125 >