< Zaburi 125 >

1 Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
Svētku dziesma. Kas uz To Kungu cerē, tie nešaubīsies, bet mūžīgi stāvēs, kā Ciānas kalns.
2 Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
Ap Jeruzālemi ir kalni, bet Tas Kungs ir ap Saviem ļaudīm no šī laika mūžīgi.
3 Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
Jo bezdievības scepteris nepaliks pār taisno ļaužu mantas daļu, ka tie taisnie neizstiepj savas rokas pie netaisnības.
4 Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
Kungs, dari labu labiem un tiem, kas savā sirdī skaidri.
5 Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.
Bet kas nogriežas uz saviem līkiem ceļiem, tos Tas Kungs aizdzīs ar ļauna darītājiem; bet miers lai ir pār Israēli.

< Zaburi 125 >