< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
[the] song of The ascents of David if not Yahweh who was for us let it say please Israel.
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
If not Yahweh who was for us when rose up on us anyone.
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
Then alive they had swallowed up us when burned anger their on us.
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
Then the waters they had overflowed us a torrent it had passed over self our.
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
Then it had passed over self our the waters raging.
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
[be] blessed Yahweh who not he has given us prey to teeth their.
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Self our like a bird it has escaped from a snare of fowlers the snare [has been] broken and we we have escaped.
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Help our [is] in [the] name of Yahweh maker of heaven and earth.

< Zaburi 124 >