< Zaburi 124 >

1 “Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
Pakai hi eiho langa anapanglou hikhataleh? Israelte jousen velseikit hen.
2 “Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
Min eina delkhum pettah’un Pakai hi eiho langa anapanglou hikhataleh,
3 basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
amahon alunghan u deojah pum in ahingin eina vallhum tauvinte.
4 Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
Twi chun einachup uvintin, twikhanglen chun einalhohmang diu ahitai.
5 Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
Hitia chu ichunguva twipi kitoltol ding ahiuve.
6 Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
Igalmiteu einasuhmangsah louva Pakai chu thangvahna peuhite.
7 Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
Eiho thaang kampa a kon a vacha ahoidoh banga hoidoh ihiuve. Thangpou chu akivobong tan eiho ihoidoh tauve.
8 Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.
Hitobanga kithopina chu van le lei sem ah Pakai a kon a imu’u ahi.

< Zaburi 124 >