< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Ɔsoroforo dwom. Misu frɛ Awurade wɔ mʼahohiahia mu, na ogye me so.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Awurade, gye me fi atoro ano, ne nnaadaa tɛkrɛma nsam.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Dɛn na ɔbɛyɛ wo, na dɛn na ɛka ho bio, wo nnaadaa tɛkrɛma?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Ɔde asraafo bɛmma a ano yɛ nnam ne nnyansramma bɛtwe wʼaso.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Nnome nka me sɛ metena Mesek, na mete Kedar ntamadan mu!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Matena wɔn a wokyi asomdwoe mu akyɛ dodo.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Meyɛ asomdwoe nipa; nanso sɛ mekasa a, wɔde yɛ ɔko.

< Zaburi 120 >