< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Pieśń stopni. Wołałem do PANA w swoim utrapieniu i wysłuchał mnie.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
Ocal, PANIE, moją duszę od warg kłamliwych [i] od zdradliwego języka.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Cóż będzie ci dane albo co się stanie z tobą, zdradliwy języku?
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Ostre strzały mocarza i węgle z jałowca.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Biada mi, że przebywam w Meszek i mieszkam w namiotach Kedaru.
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Moja dusza długo mieszka z tymi, którzy nienawidzą pokoju.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Ja [jestem za] pokojem, ale gdy [o tym] mówię, oni są za wojną.

< Zaburi 120 >