< Zaburi 120 >

1 Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
Песен на възкачванията. В бедствието си извиках към Господа; И Той ме послуша.
2 Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
В бедствието си извиках към Господа; И той ме послуша.
3 Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
Господи, избави душата ми от лъжливи устни. И от измамлив език
4 Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
Изострените стрели на силен мъж, Са въглища от смрика.
5 Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
Горко ми, защото странствувам в Мосох, Живея в Кидарските шатри!
6 Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
Дълго време живя душата ми С ония, които мразят мир.
7 Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.
Аз съм за мир; но когато говоря, Те са за бой.

< Zaburi 120 >